Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Funguka kijana,kutwa kutuimbia tuache dhambi,kumbe wao ndo vinaraBibie kitaa babu na bibi walimshindwa alikua mcharuko balaa,nimekaa nao mtaa mmoja so hpo Ima aliingia cha kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka kijana,kutwa kutuimbia tuache dhambi,kumbe wao ndo vinaraBibie kitaa babu na bibi walimshindwa alikua mcharuko balaa,nimekaa nao mtaa mmoja so hpo Ima aliingia cha kike
Huyu bibie alitoroshwa akiwa frm 2 halafu akajitokeza eti alitekwa nyambafu zke
Na jamaa anajua hasa kununua watu! Ipo siku nikaa fresh ntashusha mambo yake huyu jamaa, anavitu vingi sana evil watu hawavijui
Mkuu tema yote mbona unatema vipande vipande?
Jamani sitaki kumtaja mtu jina naomba mjiongeze wenyewe! Mtu akitaja jina mie simo
Ila kwa kifupi hapa namuongelea mchungaji mmoja maarufu sana hapa town, anasukuma ndinga ya maana (hummer), ana mjengo wa maana wa ghorofa nne mbezi beach, na ana hela mpaka hajui azifanyie nini, ana mtoto wa kike anasoma high school nchini Switzerland, na juzi juzi amenunua magari 32 yenye jumla ya thamani ya zaidi ya milioni 250 ameyagawa kwa wasaidizi wake kanisani kwake!
USHIRIKI WAKE KWENYE BIASHARA YA SEMBE.
Huyu mtumishi ana dada zake wawili wote wameolewa na wachungaji wake wasaidizi hapo kanisani kwake, mmoja anaishi ubungo mwingine anishi kibaha kwa Mathias.! Hapa nataka kumuongelea huyo anayeishi kibaha kwa Mathias, yeye na mme wake wamejaliwa kupata watoto wawili, na mumewe ni Kiongozi kanisani kwao (kanisani kwa kaka yake) upande wa ulinzi na usalama.. na anahusika moja kwa moja na ulinzi wa mchungaji wetu tunayemuongelea hapa (mzee wa humer na misukule)! Kwa kifupi jamaa yuko katika inner circle' ya mzee wa hummer na misukule!
Sasa huyu jamaa (shemeji/mlinzi wa mzee wa Hummer) mwaka jana alimleta binti kutoka kijijini kwao akasema kuwa ni mtoto wa shangazi yake!! Baada ya miezi kadhaa mkewe akagundua kuwa jamaa anammega yule binti, basi kukawa na ugomvi mkubwa sana, mpaka mzee wa hummer ikabidi aingilie!! Baada ya kuingilia na kumtetea dada yake, shemeji mtu akamaindi sana kiasi ambacho akaacha hata kwenda kusali kule kanisani na mpaka cheo chake cha chief security officer wa mzee wa hummer akakipiga chini! (Huyu jamaa ni mwanajeshi kikosi cha hapa kigamboni)
Kupitia huyu bwana ndio tukanyetishwa hili suala ntalolielezea hapa..
Mwaka jana mwezi novemba kuna gazeti moja la global liliandika habari kuwa mzee wa hummer amelishwa sumu na askofu watu wakaponda kuwa ni uongo ila mzee wa hummer anataka kujipa promo! Ile ishu ilikuwa ni kweli coz hata mimi mwenyewe niliifahamu karibia miezi minne kabla haijatoka kwenye gazeti ila nilikuwa sikujua why askofu alimlisha sumu, na sababu ambayo baadae global waliitoa ilikuwa ya kijinga mno eti jamaa wenzake wanamuonea wivu! Sasa huyu mnyetishaji wangu ndo amenifumbua macho.. ishu iko hivi!!
Jamaa anasema kuwa katika sekta ya hawa watumishi wa mungu' kuna CARTEL ya watu sita ikiwajumuisha mzee wa hummer, mchungaji mmoja wa kike ana kanisa mikocheni B pamoja na mwingine ana kanisa kubwa sana Mwenge (sio kakobe) huyu anajiita mtume na nabii'!
Anaendelea kusema kuwa hawa wawili (mama wa mikocheni na mtume wa mwenge) wao ni wazoefu sana lakini huyu mzee wa hummer ni wa juzi tu kwenye mtandao ila ni mjanja mni coz ameweza kujenga mtandao mpana sana na amekuwa akiwazunguka wenzie! Sasa anadai kuwa mwaka jana ugomvi wao ulifikia pabaya zaidi kiasi kwamba wenzie walidhamiria hasa kumuua!! Mwaka jana pekee mzee wa hummer alivamiwa mara mbili nyumbani kwake na watu wasiojulikana na hawakuiba chochote inasemekana kuwa walikuwa wanamsaka mzee wa hummer bahati nzuri hakuwepo (hili Mimi mwenyewe binafsi nimelithibitisha kupitia kwa ndugu zake wa karibu)
(Mwishoni ntaeleza connection iliyopo na tukio la Mbasha)
Itaendelea...
Jamani sitaki kumtaja mtu jina naomba mjiongeze wenyewe! Mtu akitaja jina mie simo
Ila kwa kifupi hapa namuongelea mchungaji mmoja maarufu sana hapa town, anasukuma ndinga ya maana (hummer), ana mjengo wa maana wa ghorofa nne mbezi beach, na ana hela mpaka hajui azifanyie nini, ana mtoto wa kike anasoma high school nchini Switzerland, na juzi juzi amenunua magari 32 yenye jumla ya thamani ya zaidi ya milioni 250 ameyagawa kwa wasaidizi wake kanisani kwake!
USHIRIKI WAKE KWENYE BIASHARA YA SEMBE.
Huyu mtumishi ana dada zake wawili wote wameolewa na wachungaji wake wasaidizi hapo kanisani kwake, mmoja anaishi ubungo mwingine anishi kibaha kwa Mathias.! Hapa nataka kumuongelea huyo anayeishi kibaha kwa Mathias, yeye na mme wake wamejaliwa kupata watoto wawili, na mumewe ni Kiongozi kanisani kwao (kanisani kwa kaka yake) upande wa ulinzi na usalama.. na anahusika moja kwa moja na ulinzi wa mchungaji wetu tunayemuongelea hapa (mzee wa humer na misukule)! Kwa kifupi jamaa yuko katika inner circle' ya mzee wa hummer na misukule!
Sasa huyu jamaa (shemeji/mlinzi wa mzee wa Hummer) mwaka jana alimleta binti kutoka kijijini kwao akasema kuwa ni mtoto wa shangazi yake!! Baada ya miezi kadhaa mkewe akagundua kuwa jamaa anammega yule binti, basi kukawa na ugomvi mkubwa sana, mpaka mzee wa hummer ikabidi aingilie!! Baada ya kuingilia na kumtetea dada yake, shemeji mtu akamaindi sana kiasi ambacho akaacha hata kwenda kusali kule kanisani na mpaka cheo chake cha chief security officer wa mzee wa hummer akakipiga chini! (Huyu jamaa ni mwanajeshi kikosi cha hapa kigamboni)
Kupitia huyu bwana ndio tukanyetishwa hili suala ntalolielezea hapa..
Mwaka jana mwezi novemba kuna gazeti moja la global liliandika habari kuwa mzee wa hummer amelishwa sumu na askofu watu wakaponda kuwa ni uongo ila mzee wa hummer anataka kujipa promo! Ile ishu ilikuwa ni kweli coz hata mimi mwenyewe niliifahamu karibia miezi minne kabla haijatoka kwenye gazeti ila nilikuwa sikujua why askofu alimlisha sumu, na sababu ambayo baadae global waliitoa ilikuwa ya kijinga mno eti jamaa wenzake wanamuonea wivu! Sasa huyu mnyetishaji wangu ndo amenifumbua macho.. ishu iko hivi!!
Jamaa anasema kuwa katika sekta ya hawa watumishi wa mungu' kuna CARTEL ya watu sita ikiwajumuisha mzee wa hummer, mchungaji mmoja wa kike ana kanisa mikocheni B pamoja na mwingine ana kanisa kubwa sana Mwenge (sio kakobe) huyu anajiita mtume na nabii'!
Anaendelea kusema kuwa hawa wawili (mama wa mikocheni na mtume wa mwenge) wao ni wazoefu sana lakini huyu mzee wa hummer ni wa juzi tu kwenye mtandao ila ni mjanja mni coz ameweza kujenga mtandao mpana sana na amekuwa akiwazunguka wenzie! Sasa anadai kuwa mwaka jana ugomvi wao ulifikia pabaya zaidi kiasi kwamba wenzie walidhamiria hasa kumuua!! Mwaka jana pekee mzee wa hummer alivamiwa mara mbili nyumbani kwake na watu wasiojulikana na hawakuiba chochote inasemekana kuwa walikuwa wanamsaka mzee wa hummer bahati nzuri hakuwepo (hili Mimi mwenyewe binafsi nimelithibitisha kupitia kwa ndugu zake wa karibu)
(Mwishoni ntaeleza connection iliyopo na tukio la Mbasha)
Itaendelea...
Funguka kijana,kutwa kutuimbia tuache dhambi,kumbe wao ndo vinara
huyu aliemtaja mbasha kambaka au yupi mkuu
Nimechoka akili kabisa
3 kidonda changu wako maradhiii usononekpo kwangu simanzi
wacha movie iendelee
Hadi huku upo bidada?
Ngoja nigeuze samaki,leo sitoki hapa,ndo maana sijawahi kwenda kusali kwa Gwajima,Yesu arudi upesi watu waumbukeleo sioshi vyombo vya mchana mpaka hii issue ifike kunako peak yake
Kuna mburura nahisi ni misukule ya mzee wa hummer wananithreat PM eti wanatrace my IP address!! Nawashauri muendelee kutrace ila mkae mkijua wengine mnaotaka kutuchokoza vina virefu!! Ntawedekisha bahari, na tena ndio mmenitibua kabisa leo naropoka mpaka kesho mfunge kanisa kwa aibu!! Manina
NTARUDI WAKUU!