Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Yy asemaye ukweli mwenyezi Mungu humpigania....na wale wafanyao madhambi huku wakijificha kupitia mgongo wa dini...Mungu atawaaibisha na kuwaaangamiza kabisa.
 
The bold mi naona uache kwa wakati huu mwenzio nahofia usalama wako mkuu.

Hata mimi pia maana huwezi jua we hadi simu.Tumbo linauma la uzazi jamani uchungu wa mwana huu!
 
Last edited by a moderator:
Kunakucha leo…
Kuuwawa huuwawi The Bold
Ila nataka nijue kuhusu wale wakorea,na jinsi Sembe inavyopelekwa baasi…
 
Hii scandal flora alipanga kipumbavu kma akili yke ilivyo akijua atammaliza ima sasa tumejua hawana pakujificha wanamtishia the bold,flora kilaza 2 frm 4 alipata ziro,warudi wakajipange tena mana tumejua mchezo wao we ote

Umeona mambo yanawarudia sasa...hivi florah Ana roho ngumu kias hicho?? Umuonee mmeo kwa kumsaliti alafu umbambikie Kesi ya kabaka??
 
amen na Mungu atende sawa sawa na ombi lako.
 
Huyo Matumbo kipapa tu hana lolote, labda amelewa maana mida mibovu hii...

Tuko gado Tunasubiri pigo la mwisho takatifu
 
Umeona mambo yanawarudia sasa...hivi florah Ana roho ngumu kias hicho?? Umuonee mmeo kwa kumsaliti alafu umbambikie Kesi ya kabaka??

Unajua nilikuwa nakaribia kutangaza uchumba inabidi nirudi nyuma nitafakari kwanza.Mungu naomba uniongoze kwenye njia hii iliyo korofi maana sijui nielekeapo.Amina.
 
matumbo njoo hapa ujieleze...ww ni nani kwenye mtandao wa hao wachungaji wauza unga? Mbona wamtisha mwenzio?
 
Last edited by a moderator:
Jamani kila mtu kwa imani yake amuombee The Bold
 
Kamanda The bold please njoo umalizie basi hiyo script ilobaki, tupe hata no# yako ya Mpesa tutakuchangia aisee, maana hizi info tayari zimeshambazwa kwenye blogs mbalimbali ili dunia ijue ukweli.

FEAR NOT.
 
Last edited by a moderator:
Mi sina raha tena nahofia uhai wake MR.Hummer tafadhali lolote baya likimtokea huyu kaka laaaana ikupate na usiwe na furaha tena ktk dunia hii na huyo flora aka delila mkubwa.
Hawa watu watakuwa wapo fit balaa ila siku zote ukweli utasimama kama mlima sayuni.
 

Dah we lazima nikuajiri ministry yagwajima security nipm
 
Kamanda The bold please njoo umalizie basi hiyo script ilobaki, tupe hata no# yako ya Mpesa tutakuchangia aisee, maana hizi info tayari zimeshambazwa kwenye blogs mbalimbali ili dunia ijue ukweli.

FEAR NOT.

Nimezikuta mahali yani ni balaa...zimesambaa hasa
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi pia maana huwezi jua we hadi simu.Tumbo linauma la uzazi jamani uchungu wa mwana huu!
yani hapa namuwaza ka namjua mwenzenu eh! The bold Mungu akutunze mpendwa wetu.
 
Last edited by a moderator:
Umeona mambo yanawarudia sasa...hivi florah Ana roho ngumu kias hicho?? Umuonee mmeo kwa kumsaliti alafu umbambikie Kesi ya kabaka??

Mimi toka juzi nlijua kuna kamchezo ila uhakika ckua nao,flora ni mcharuko kitambo sana istoshe huyu gwajima mabinti wazuri wamejaa yeye kazi yke kula wake za waumini wke.hana mda mrefu ataumbuka tu yeye na kanisa lake mungu hajaribiwi hata cku 1
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…