Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Wakuu,

Inaoneka kuna watu wamepitia post zangu wameconnect dots wakafahamu mimi ni nani in real life!!

Mida ya saa moja jioni nimepoke simu kwa namba +61 3 432 436 471! Kuna mdau amenisaidia kupata street address ameniambia ni AUSTRALIA, VISION DRIVE, EAST BURWOOD VIC 3151!
Baada ya kupata hii address nahisi nimeshafahamu huyu mtu ni nani! (Sio mzee wa hummer ila kuna connection)

Nimeongea nae kwa takribani dakika tano na nimeefankiwa kurekodi!! Ananifahamu jina langu na mpaka ninapoishi.. katika maongezi yake anasema kuwa ili suala yafuatayo:

i) niachane na suala la ‘mbakaji' litamalizwa kifamili
ii) anasema nimefika mbali sana kuongelea hizi shutuma, na sikupaswa kufika huku kote
iii) katika maongezi yake amesisitiza mara kwa mara niangalie sana hili suala lisije kunicost..

Baada ya maongezi hayo nimeamua yafuatayo:

i) kuna mtu ananisaidia kuiweka hiyo rekodi kwenye format nzuri na ntaiweka hapa
ii) ahadi yangu ya kumuanika mzee wa hummer iko pale pale
iii) kabla sijaweka kila kitu hadharani najitahidi kukusanya enough evidence ili kama kuna chochote kibaya kitatokea kwangu au mtu wangu wa karibu basi kiweze kutrace direct kwake..

Pia kuna ujumbe mfupi wa maandishi wa vitisho nimeupokea kutoka namba ya ya Kenya ila ni namba ya mtu ninaye mfahamu sasa sijajua kama mtu anaweza kuhack simu ya mtu ama vipi, maIT mtusaidie!

Pia tukio fulani la ajabu limetokea hapa home siwezi kuliongelea kwa sasa kwasababu bado sina hakika kama linaconnection na hawa watu!!

Mwisho kabisa nawashukuru wadau mnaonitia moyo! Asanteni sana..

Binafsi siogipi na bado niko ngangari!
Wepesi sana hawa...

TUTASHINDA.!

Nilise arudi huyu na pombezenu azijaisha lo sikui mtaweka mifukoni saSaba hiyo
 
Mkuu mungu yuko nawe atakulinda na kukuongoza,kma mzee w hammer msafi wanyamaze kukutisha kote wanaficha madhambi yake,tumeshamjua tabia,matendo n biashara yke y sembe.
Hata wamsafishe vipi tayari kachafuka flora nae tunamjua kitambo ni mcharuko

Hawahawa wa kwanza kusema rest in Peace
 
The bold umelala jaman?sema neno na roho yangu itapona. ama tukio walofanya ni kubwa hapo kwako? Mungu wa mbinguni akutunze baba.
 
Last edited by a moderator:
pic-5.jpg

Mrs. Gwajima kushoto, Flora Mbasha katikati na mumewe kulia
 
Loh kesho off hapanagonga dompo ya tatu
hata sijaangalia ninaejibu best nakutaka radhiii siyo ya mbasha lakini

Ila kweli walipata ajali kongowe tena ilitangazwa sana tu. Mkuu wa jimbo, katibu wake, mhazini wake na mtu mwingine walikufa siku Moja. Yani ofisi mzima mabosi wote. Kisa kugombea vyeo kanisani.
 
The bold Mungu awe nawe usiku huu na akulinde na kukufunika kwa rehema zake.
Ktk jina la Yesu
AMEN..
Tafadhar the bold utujuze hali yako ili tuwe na amani.
 
Nilise arudi huyu na pombezenu azijaisha lo sikui mtaweka mifukoni saSaba hiyo
hivi mkuu hujui kuandika kwa kiswahili au ukiwa unatype huwa unakuwa katika haraka sana.
 
Duu hii kali, kwa jinsi nilivyo isikiliza huyu aliepigiwa sio MBAKWA atakuwa ni shemeji.....kwanza atakuwa katumwa na nani?.lengo hasa la kurecord ni lipi, Mbasha awe hatiani ili Gwajima aendelee kumgegeda Flora? Au amekerwa na tabia mbaya alioionesha mbasha?;au kapewa dili ili apige pesa? Au katumwa na Flora ili jamaa achezee mvua 30 then flora azidi kujitanua?

ilishajitanua hiyo inasubili 'kuwambwa'
 
Hao mademu wanaoimba nyimbo za injili wengi ni wahuni,kuna mmoja nae agegedwa na kigogo mmoja ni bora uoe bar medi kuliko hao
 
Takriban masaa zaidi ya 8 ama 9 hivi toka tulivoachana, uliniabarisha na kunifungua mambo mengi sana hata yale ambayo sikutegemea na tuliagana kwa salama huku ukiniahidi utakapoweka mambo sawa basi untajuza lakin hapo hapo ukan'dokeza kuna watu kama wanatrace na kukutisha hivi! na hiyo ndio hofu yangu kwako. waraka wako kwa watu wako umekuwa closed sijajua sababu? nimekuchungulia huku na huko sijakuona sijui labda umeme wa muhongo? waliosema watakuwa pamoja nawe naona nao kimyaaa. MKUU The bold naomba unitoe hofu hata kwa dkk moja tu nathaminije sana uwepo wako kwangu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom