Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
Chama lenu hilo
 
Binamu nasikia unaumwa corona lakini kila saa unataka nyama choma na chips za kwa sele bonge, maneno hayo yanatembeatembea huko

Ahahah Jaman binamu corona tena ? Waambie washindwe kwa jina la Yesu , warumi Niko fiti kama jeshi la wananchi Tanzania [emoji16]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Dah huyu Billionaire kuna jumamosi moja nikiwa Arusha... Kuna mwamba akatuonesha video yake akifanya uasherati

Na video akiwa anairekodi yeye mwenyewe..

Akamwambia mshkaji wake kua akitoka kwenye makamuz anaenda kwenye Ibada saa nane mchana.

Wanao mwamini naomba Mungu awafunulie ukweli siku moja.
 
Dah huyu Billionaire kuna jumamosi moja nikiwa Arusha... Kuna mwamba akatuonesha video yake akifanya uasherati

Na video akiwa anairekodi yeye mwenyewe..

Akamwambia mshkaji wake kua akitoka kwenye makamuz anaenda kwenye Ibada saa nane mchana.

Wanao mwamini naomba Mungu awafunulie ukweli siku moja.
Astagafurillah 🤦‍♀️
 
Huyu shila ni mhuni na tongoza tongoza kashawahi nifata Dm kwa mtongozo watu wawe makini naye?
Nijuavyo mimi kwa Mwanamke wa kweli na anayejitanbua, hata akitongozwa na Malaika kwake siyo story kabisa...ila kwa wale wanawake sungura matope ndiyo huwa story.
 
Dah huyu Billionaire kuna jumamosi moja nikiwa Arusha... Kuna mwamba akatuonesha video yake akifanya uasherati

Na video akiwa anairekodi yeye mwenyewe..

Akamwambia mshkaji wake kua akitoka kwenye makamuz anaenda kwenye Ibada saa nane mchana.

Wanao mwamini naomba Mungu awafunulie ukweli siku moja.
Hahahaaha!!!dahh!hatari sana!mi sijui kwa nini haya makanisa ya mlipuko siyaelewi elewi!
 
Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
Kumbe ushoga ni scandal? Mkisemwa mnasema muachwe ndivyo mlivyozaliwa
 
Dah huyu Billionaire kuna jumamosi moja nikiwa Arusha... Kuna mwamba akatuonesha video yake akifanya uasherati

Na video akiwa anairekodi yeye mwenyewe..

Akamwambia mshkaji wake kua akitoka kwenye makamuz anaenda kwenye Ibada saa nane mchana.

Wanao mwamini naomba Mungu awafunulie ukweli siku moja.
Share hiyo video tuone
 
Siku kadhaa baada y aliyekua mume wa florah Mbasha , Emmanuel Mbasha kumlipua nabii shilah kuhusu scandal yake ya utapeli kupitia neno la Mungu na kuahidi kufichua uovu wake wote pamoja na ushahidi na watu aliowatapeli mamillion ya pesa kwa kupitia mwanvuli wa dini.

Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli

Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu

Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew
😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom