Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Huu umbea mbona sijawahi kuusikia, huyo shillah na sura kama nguchiro atampata nan labda awadanganye na hivo vijihela
Nguvu ya pesa binamuuuh, si watoto wa chuo wanawarubuni kwa kuwapa pesa, mavazi, kuwapangia apartments, na kuwapeleka sehemu za starehe.
Mtu gan smart gay akubali kudate na shillah lol.
 
Shillah ni tapeli na mshirikina snaa yule , kama Kweli sio tapel angeenda kumshtaki mbasha na sio kumfuata wayamalize Yan mpaka hapo watu bado hawaamin Jamaa ni tapeli

Mi mara ya kwanza tu namuona nikajisemea hapa hakuna mtumishi wa Mungu , anatongoza mno vitoto vya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila binamu bhanaaah,
 
Ila kiukwel kilichonishtusha nilipoanza kumfuatilia huyu nabii ni tendency yake ya kugawa hela kanisani, utadhan lil wyne yupo stejini ana-flaunt his dollars, hapo ndipo nilipomuhamisha chemba nyingine ya akili zangu. Afu kuna kipindi alitaka kugombea ubunge huku kwetu Ifakara ila anasema figisu figisu sijui nn akahama chama had kashindwa, ila baba ake ni RPC. Jamaa ana mambo mengi huyu!
Watu wengi hawamfahamu,wamemfahamia mtandaoni!
Baba na mama both ni RPC km sikosei!
Sio kwamba wana shida kwao,kamaliza form 6 hapo st.Antony!
Na alikuwa vzr tu,sijui nn kimetokea hapo katikati!
Duh ila yezebel anapiga kazi sio mchezo!,anahakikisha anamgeuza mtu kabisaa mpk anakua kituko sio vile Mungu alivyomkusudia
 
Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
Aisee [emoji119]
 
Eti kapata umaarufu baada ya kulambwa mtama?[emoji13]
 
Muacheni jamaa apige hela dunia ya Sasa unahitaji kuwa na akili za kuwatawala watu fikira zao ndio utatusua kimeisha
 
Watu wengi hawamfahamu,wamemfahamia mtandaoni!
Baba na mama both ni RPC km sikosei!
Sio kwamba wana shida kwao,kamaliza form 6 hapo st.Antony!
Na alikuwa vzr tu,sijui nn kimetokea hapo katikati!
Duh ila yezebel anapiga kazi sio mchezo!,anahakikisha anamgeuza mtu kabisaa mpk anakua kituko sio vile Mungu alivyomkusudia
Yezebel ndio nani huyo 😲
 
Mara aingie kwenye siasa mara aingie kashfa za utapeli, mara awatishie watu kuwa baba yake ni RPC atawaweka ndani yani tafrani bado watu wanamuona ni nabii

Sijui mitanzanania akili zao wanaziwekaga wap, hizo pesa bora tu wapeleke kwa waganga kuliko kwa hilo linabiii fake
 
Nipo binamu nilipigwa Ban flani kandamizi na onevu, Sasa mpaka Ban hiyo katili imeisha nimejikuta sipo sana Jf nimejipata niko kwenye kusoma vitabu zaidi. huku jamvini nakuja mara chache.

Pole sana aiseh binamu, ila bora umerudi, ukiwa legend BAN sunna, mie nimepigwa NaN Naona had ma mods wamenivulia kofia mdomo ndo siachi[emoji16]
 
Back
Top Bottom