Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Vipi na huyu apewe sadaka?Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na huyu apewe sadaka?Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anakujaga kwangu kuchukua na wewe ukihitaji niambie malipo baada ya kufanikiwaTena akiingia kanisan hakanyag chini, wapendwa wanamtandikia kanga nyeupe mtumishi akanyage, yule mbwa sijui anarogaga wapi, Ndele yake kiboko[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHuyu shila ni mhuni na tongoza tongoza kashawahi nifata Dm kwa mtongozo watu wawe makini naye?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeeh lolTena akiingia kanisan hakanyag chini, wapendwa wanamtandikia kanga nyeupe mtumishi akanyage, yule mbwa sijui anarogaga wapi, Ndele yake kiboko[emoji23][emoji23]
Anakujaga kwangu kuchukua na wewe ukihitaji niambie malipo baada ya kufanikiwa
Huwa nacheka unakuta mganga anakufata DM tsup anatoa promo za dawa zake, huwa nacheka sina mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waganga wangu hata whatsapp hawana, hawajui mambo ya insta wala JF , mi nikishaona mganga ako Whatsapp cna time nao, kwanza level yangu ya ushirikina mi hutibiwa na wachawi[emoji16]
Ila kiukwel kilichonishtusha nilipoanza kumfuatilia huyu nabii ni tendency yake ya kugawa hela kanisani, utadhan lil wyne yupo stejini ana-flaunt his dollars, hapo ndipo nilipomuhamisha chemba nyingine ya akili zangu. Afu kuna kipindi alitaka kugombea ubunge huku kwetu Ifakara ila anasema figisu figisu sijui nn akahama chama had kashindwa, ila baba ake ni RPC. Jamaa ana mambo mengi huyu!Siku kadhaa baada y aliyekua mume wa florah Mbasha , Emmanuel mbasha kumlipua nabii shilah kuhusu scandal yake ya utapeli kupitia neno la Mungu na kuahidi kufichua uovu wake wote pamoja na ushahidi na watu aliowatapeli mamillion ya pesa kwa kupitia mwanvuli wa dini.
Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli
Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu
Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew
Ikawaje? Nabii alipata utelezi mkuu?Huyu shila ni mhuni na tongoza tongoza kashawahi nifata Dm kwa mtongozo watu wawe makini naye?
Njoo PM tuyajenge tufanye maisha..kifupi me sio boy ni gentleman..na kazi yangu ..mtu wa mazoeziHuyu shila ni mhuni na tongoza tongoza kashawahi nifata Dm kwa mtongozo watu wawe makini naye?
Mhhhh kweli tapeli ila vingine mnajitungia.Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
Unataka nikupe chimbo ili ukajionee? Au kwakua hatusemi hadi waanzishwe mada, tena huyo mtoto wa chuo ndo anajiweka wazi na kuringishia wenzie kuwa anatunzwa. Utayajua wapi haya na wee sio mfukunyuku.Mhhhh kweli tapeli ila vingine mnajitungia.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, acha wapigwe tu maana hakuna namnaSiku kadhaa baada y aliyekua mume wa florah Mbasha , Emmanuel mbasha kumlipua nabii shilah kuhusu scandal yake ya utapeli kupitia neno la Mungu na kuahidi kufichua uovu wake wote pamoja na ushahidi na watu aliowatapeli mamillion ya pesa kwa kupitia mwanvuli wa dini.
Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli
Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu
Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew
Unataka nikupe chimbo ili ukajionee? Au kwakua hatusemi hadi waanzishwe mada, tena huyo mtoto wa chuo ndo anajiweka wazi na kuringishia wenzie kuwa anatunzwa. Utayajua wapi haya na wee sio mfukunyuku.