Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Tena akiingia kanisan hakanyag chini, wapendwa wanamtandikia kanga nyeupe mtumishi akanyage, yule mbwa sijui anarogaga wapi, Ndele yake kiboko[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeeh lol
 
Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
 
Waganga wangu hata whatsapp hawana, hawajui mambo ya insta wala JF , mi nikishaona mganga ako Whatsapp cna time nao, kwanza level yangu ya ushirikina mi hutibiwa na wachawi[emoji16]
Huwa nacheka unakuta mganga anakufata DM tsup anatoa promo za dawa zake, huwa nacheka sina mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku kadhaa baada y aliyekua mume wa florah Mbasha , Emmanuel mbasha kumlipua nabii shilah kuhusu scandal yake ya utapeli kupitia neno la Mungu na kuahidi kufichua uovu wake wote pamoja na ushahidi na watu aliowatapeli mamillion ya pesa kwa kupitia mwanvuli wa dini.

Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli

Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu



Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew
Ila kiukwel kilichonishtusha nilipoanza kumfuatilia huyu nabii ni tendency yake ya kugawa hela kanisani, utadhan lil wyne yupo stejini ana-flaunt his dollars, hapo ndipo nilipomuhamisha chemba nyingine ya akili zangu. Afu kuna kipindi alitaka kugombea ubunge huku kwetu Ifakara ila anasema figisu figisu sijui nn akahama chama had kashindwa, ila baba ake ni RPC. Jamaa ana mambo mengi huyu!
 
Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
Mhhhh kweli tapeli ila vingine mnajitungia.
 
Hivi kwanini walokole wakiwa wanasali kanisa fulani huwa wanamnyenyekea sana kiongozi wa dini, unakuta akipata hela anapeleka na unakuta yeye hana hata mia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mhhhh kweli tapeli ila vingine mnajitungia.
Unataka nikupe chimbo ili ukajionee? Au kwakua hatusemi hadi waanzishwe mada, tena huyo mtoto wa chuo ndo anajiweka wazi na kuringishia wenzie kuwa anatunzwa. Utayajua wapi haya na wee sio mfukunyuku.
 
Siku kadhaa baada y aliyekua mume wa florah Mbasha , Emmanuel mbasha kumlipua nabii shilah kuhusu scandal yake ya utapeli kupitia neno la Mungu na kuahidi kufichua uovu wake wote pamoja na ushahidi na watu aliowatapeli mamillion ya pesa kwa kupitia mwanvuli wa dini.

Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli

Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu



Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, acha wapigwe tu maana hakuna namna
 
Unataka nikupe chimbo ili ukajionee? Au kwakua hatusemi hadi waanzishwe mada, tena huyo mtoto wa chuo ndo anajiweka wazi na kuringishia wenzie kuwa anatunzwa. Utayajua wapi haya na wee sio mfukunyuku.


Kwanini asitembee na wanawake?
 
Back
Top Bottom