Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

images - 2021-03-10T123625.722.jpeg
images - 2021-03-10T123548.842.jpeg


WENZANGU na mimi tusiowajua.
 
Hilo ni suala lake binafsi mie swez kujibu, kuna chimbo 1 hivi lina gays hasa wanachuo, wanaringishiana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na hawa vigogo, vibosile, tena wanatambiana kweli kweli, wanapost appartments walizopangishiwa na gari wanazotembelea, na sehemu za starehe wanazojirusha, wanajiita "HIGH CLASSIC GAYS".
sasa tukisema tunaambiwa tunatunga lol.
Kuna kipindi nliona james delicious amepost ig video anajifunza kuendesha gari au ndio hilo nn
 
Huwa nacheka unakuta mganga anakufata DM tsup anatoa promo za dawa zake, huwa nacheka sina mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mi mwenyew mwanga, wawadanganye hao hao wagen wa mji
 
Ila kiukwel kilichonishtusha nilipoanza kumfuatilia huyu nabii ni tendency yake ya kugawa hela kanisani, utadhan lil wyne yupo stejini ana-flaunt his dollars, hapo ndipo nilipomuhamisha chemba nyingine ya akili zangu. Afu kuna kipindi alitaka kugombea ubunge huku kwetu Ifakara ila anasema figisu figisu sijui nn akahama chama had kashindwa, ila baba ake ni RPC. Jamaa ana mambo mengi huyu!

Huyu nabii haitaji hata macho ya kiroho kujua kuwa ni tapeli , Sijui kwa nn watu walichelewa kumjua, Naona siku hiz had kanisa kafunga watu washamshtukia na utapel wake
 
Binamu jamani hiyo bio ya Mbasha balaa
"aliyekuwa mume wa Flora" aliyejipatia umaarufu baada ya kupigwa mtama na Adam mchomvu [emoji1787][emoji1787]

Ahahah mi nae mbea ninachokitafuta kwa mbasha nitakipata[emoji23][emoji23][emoji23], ila si ni kweli binamu ule mtama ulimuongezea umaarufu mjin[emoji23][emoji23][emoji23], ila mi nae mbea sana kwa kweli
 
Hivi kwanini walokole wakiwa wanasali kanisa fulani huwa wanamnyenyekea sana kiongozi wa dini, unakuta akipata hela anapeleka na unakuta yeye hana hata mia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Imani tu , na wengine ni kuvutwa na madawa ya wachungaji fake
 
Unataka nikupe chimbo ili ukajionee? Au kwakua hatusemi hadi waanzishwe mada, tena huyo mtoto wa chuo ndo anajiweka wazi na kuringishia wenzie kuwa anatunzwa. Utayajua wapi haya na wee sio mfukunyuku.

Huu umbea mbona sijawahi kuusikia, huyo shillah na sura kama nguchiro atampata nan labda awadanganye na hivo vijihela
 
Mbasha alikua na kitu cha kusimamia kimisimamo kabisa alianza kutoa ushahidi wa kutosha, na maneno mengi mengi juzi kati Mbasha ka post picha yupo na shila na kusema mambo yamekwisha hapo ndipo nilipomuona mbasha ni mtoto sana na ni kama anatafuta kiki za kijinga

Ila shila sijui inabii wake una akisi nini kwenye jamii sijawaji muelewa, ila unashangaa watu wanampekea sadaka za kutosha na magari pesa nk sasa mara kuna siku ingine anasema anagawa hela kwa waumiji elfu 10 kwa kila mmoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Shillah ni tapeli na mshirikina snaa yule , kama Kweli sio tapel angeenda kumshtaki mbasha na sio kumfuata wayamalize Yan mpaka hapo watu bado hawaamin Jamaa ni tapeli

Mi mara ya kwanza tu namuona nikajisemea hapa hakuna mtumishi wa Mungu , anatongoza mno vitoto vya watu
 
Shillah ni tapeli na mshirikina snaa yule , kama Kweli sio tapel angeenda kumshtaki mbasha na sio kumfuata wayamalize Yan mpaka hapo watu bado hawaamin Jamaa ni tapeli

Mi mara ya kwanza tu namuona nikajisemea hapa hakuna mtumishi wa Mungu , anatongoza mno vitoto vya watu
Mara aingie kwenye siasa mara aingie kashfa za utapeli, mara awatishie watu kuwa baba yake ni RPC atawaweka ndani yani tafrani bado watu wanamuona ni nabii
 
Back
Top Bottom