Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Chama lenu hilo
 
C Ndio Jaman , c pia ilimpa umaarufu[emoji16]

Binamu nasikia unaumwa corona lakini kila saa unataka nyama choma na chips za kwa sele bonge, maneno hayo yanatembeatembea huko
 
Binamu nasikia unaumwa corona lakini kila saa unataka nyama choma na chips za kwa sele bonge, maneno hayo yanatembeatembea huko

Ahahah Jaman binamu corona tena ? Waambie washindwe kwa jina la Yesu , warumi Niko fiti kama jeshi la wananchi Tanzania [emoji16]
 
Reactions: amu
Dah huyu Billionaire kuna jumamosi moja nikiwa Arusha... Kuna mwamba akatuonesha video yake akifanya uasherati

Na video akiwa anairekodi yeye mwenyewe..

Akamwambia mshkaji wake kua akitoka kwenye makamuz anaenda kwenye Ibada saa nane mchana.

Wanao mwamini naomba Mungu awafunulie ukweli siku moja.
 
Astagafurillah πŸ€¦β€β™€οΈ
 
Huyu shila ni mhuni na tongoza tongoza kashawahi nifata Dm kwa mtongozo watu wawe makini naye?
Nijuavyo mimi kwa Mwanamke wa kweli na anayejitanbua, hata akitongozwa na Malaika kwake siyo story kabisa...ila kwa wale wanawake sungura matope ndiyo huwa story.
 
Hahahaaha!!!dahh!hatari sana!mi sijui kwa nini haya makanisa ya mlipuko siyaelewi elewi!
 
Kumbe ushoga ni scandal? Mkisemwa mnasema muachwe ndivyo mlivyozaliwa
 
Share hiyo video tuone
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…