Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Makamo wa Rais anapaswa kujibu suala hili maana anajua kila kitu na inapaswa awajibike kwa hili.

Tanzania sio shamba la Bibi kila mtu anachota pesa anavyo taka.
 
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi mh Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?...
Deni la Trilioni 71 ni kidogo sana kwa nchi kama Tanzania cha muhimu pesa hizo zimetumikaje. Marekani mtu mmoja anamiliki hadi Trilioni 400.

Umaskini wetu unasababisha kuona deni la Trilioni 71 kuwa kubwa sana wakati siyo. Tanzania tuna rasilimali rukuki tukiacha ubabaishaji, wizi na ujanja ujanja tutapiga hatua kubwa.
 
Hivi vichama vinavyoongozwa na wachagga tabu tupu.

Vyama vimekuwa vitega uchumi binafsi, wanajumbatia vyama ili wapate title za kuvimbia mjini
  • TLP ( Mrema )
  • CDM ( Mbowe )
  • NCCR ( Mbatia )
 
Serikali ya awamu ya 5, kwa zaidi ya 70%, iliendesha mambo yake kwa hila, hadaa na uwongo.

Serikali zote Duniani zinazominya uhuru wa habari huwa zinaendeshwa kwa kuwahadaa wananchi.
Halafu walikuwa mabingwa wa propaganda, utadhani kuto kwenye vita ya Kagera... [emoji23] [emoji23]
 
Serikali ya awamu ya 5, kwa zaidi ya 70%, iliendesha mambo yake kwa hila, hadaa na uwongo.

Serikali zote Duniani zinazominya uhuru wa habari huwa zinaendeshwa kwa kuwahadaa wananchi.
Ni kweli mkuu....

Wependa ushenzi siku zote wanapenda "giza".
 

Mwenyekiti wa NCCR ,Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source: Clouds tv!
Mzee wa mama Tanzania
Kaibuka
 
Tadea ( Shibuda)
Shibuda alitokea CCM, akaenda CHADEMA baadaye akauziwa TADEA.

Hivyo ni vichama vya fursa. Utawasikia,
- Rais kukutana na vyama vya siasa, na wenyewe wapo.

( Sasa uking'atuka uenyekiti utaenda kama nani ?

Sherehe za kitaifa unahudhuria

Bila title hapa mjini maisha yatakuwa kama sisi.
 

Mwenyekiti wa NCCR ,Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source: Clouds tv!
Hapa mnanikumbusha ukiwa na biashara yako unaiendesha na wasaidizi wako
itokee bahati mbaya ufe ghafla.Familia itategemea uaminifu wa wasaidizi wako
ndo uamue familia ibaki tajiri au iwe masikini kuanzia kutangazwa kwa kifo chako.

Hapa naanza kuona wananchi tujiandae kisaikolojia,maana kila lolote baya litakalojitokeza
jibu jipesi litakuwa "mwendazake alifanya siri'' na ndo hapo mtatufanya tumuombolezee siku zote za maisha yetu,
Kama vile ambavyo watoto wa tajiri marehemu mali za baba yao zikiporwa na wasaidizi wake, watoto wakarudishwa shule za kayumba
na kuanza kutembea kwa miguu kwenda na kurudi toka shule,hawaachi kumlilia baba yao hata kama baba zao wadogo/wakubwa wakiwasimulia usiku na mchana ubaya wa baba yao.
 
Hivi vichama vinavyoongozwa na wachagga tabu tupu.

Vyama vimekuwa vitega uchumi binafsi, wanajumbatia vyama ili wapate title za kuvimbia mjini
  • TLP ( Mrema )
  • CDM ( Mbowe )
  • NCCR ( Mbatia )
Unamanisha deni la Taifa limeongezwa na hivi vyama?
 
Back
Top Bottom