Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Hizo pesa zingeenda kwenye uzalishaji tungekuwa mbali sana kimaendeleo
 
Siku hizi atusikii tena kina malasusa,gamanywa, shehe ahad wakiandaa makongamano yasiyoisha ya kumsifia shujaa wa Africa
 
U
Hapa kuna matilioni aliyotumia kununua wapinzani. Eti shujaa wa Africa,Shujaa wa Africa my ass
Umeona eh,mimi mwenyewe nashangaa shujaa wa Afrika kwa lipi???Kununua ndege??Kuua upinzani Tanzania??Kuua demokrasia Tanzania??
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source:
Clouds tv!
Tanzania siyo nchi masikini
 
Serikali iliyoendeshwa kwa propaganda , haya deni la tilioni 70 limeletwa na uchumi wa kati ,tunatumia hela zetu za ndani .
 
Deni bado stahimilivu, linalipika…. nchi hii ni tajiri.
 
Wakati wa Jiwe jamaa alikuwa kimya akila dili butu la kuwa ati chama kikuu cha Upinzani Bungeni, sasa sijui kiko wapi. Wenzake wanazunguka mikoani ku-huisha uhai wa chama chao, yeye yupo ofisini anasubiri kipenge cha uchaguzi ashiriki - ili aitangazie Dunia kwamba uchaguzi ulikuwa huru na haki.

Huyu mzee bana.
Tena akamsifia sana na kumwita ikulu na kumtua mbeya kuua chadema
 
Mama kutoka Unguja hana roho mbaya, inabidi mwanasiasa aongee kwa sauti ya juu ili teuzi ziweze kupatikana.

Sifa kubwa ya mwanasiasa ni kuwa na nia mbili, ile inayojulikana kwa wote na ile inayojulikana moyoni tu.
 
Mbona mnashambulia mleta hoja badala ya hoja wewe unaonaje deni la ccm kutaka liwe deni la Taifa nisawa?
kwakweli hizo pesa zote zimeishia mifukoni mwa WanaCCM. Yeye anayekuja kulalamika ni miongoni mwa waliozifaidi. Anatuchora tu
 
mama Tanzania
Mama Tanzanua akili kisoda. Utawala wa kishetani wa Jiwe umelisaidia sana taifa kuemgua wanafiki na wazalendo wa kweli. Zamani Ilikuwa rahisi kuamini kwa maneno kuwa Slaa, Lipumba na Mbatia wanapigania maslahi ya taifa kumbe sio kweli. Nyakati zimethibitisha hilo.
 
Mama kutoka Unguja hana roho mbaya, inabidi mwanasiasa aongee kwa sauti ya juu ili teuzi ziweze kupatikana.

Sifa kubwa ya mwanasiasa ni kuwa na nia mbili, ile inayojulikana kwa wote na ile inayojulikana moyoni tu.
Laanatuarah Mbatia
 
Jiwe angefika 2025 deni lingekuwa trillion 189 kwa jinsi alivyokuwa amejipanga kuifanya Chato kuwa kitovu cha utalii Afrika
 
Jiwe kakopa zaidi ya 50pc ya hilo deni..

Propaganda zilipikwa zikapikika chini ya Jiwe.

Taifa lilipatwa.
 
Back
Top Bottom