Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Juzi tumeongezea Mbili kwa miradi ambayo hata Haina umuhimu wa kukopa fedha,

Jamani tunaopofanya maamuzi ya kukopa tukope kwa ajili ya miradi itayotuondoa katika utegemezi na sio Kwa lengo la kukopa tu ili kujenga mahusiano mazuri na hizo taasisi za kifedha, tutabakia maskini kwa muda mrefu sana.
Ona kazi yake sasa
matumizi ya kawaida ni makubwa kuliko matumizi ya maendeleo.....
IMG-20210608-WA0006.jpg
 
Deni la Trilioni 71 ni kidogo sana kwa nchi kama Tanzania cha muhimu pesa hizo zimetumikaje. Marekani mtu mmoja anamiliki hadi Trilioni 400.

Umaskini wetu unasababisha kuona deni la Trilioni 71 kuwa kubwa sana wakati siyo. Tanzania tuna rasilimali rukuki tukiacha ubabaishaji, wizi na ujanja ujanja tutapiga hatua kubwa.
Suala la msingi kwenye hoja ya Mbatia na watanzania kwa ujumla, siyo ukubwa au udogo wa deni, kama utakua makini na kuwa neutral kuwaelewa, hata lingefika Tr 100. Hoja kubwa hapa tulidanganywa kwamba tunatumia pesa zetu za ndani (HATUKOPI KWA MABEBERU). Kwanini tulidanganywa??

Wewe binafsi hukushituka baada ya kuona ulidanganywa na uliyemuamini akikwambia HATUKOPI na sasa unakuja kuambiwa deni limefika Tr 71 kutoka Tr 41 aliloliacha Kikwete!?. Yaani kwa miaka mitano (5) deni limeongezeka Tr 30 !!!!!!!
 
Je amesahau kuwa ule mpango dhalimu wa kufufua chama chake ulisepa na sehemu ya huo mkwanja?
Anapaswa kuwa wa kwanza kuomba radhi kwa unafiki
 
Jk kwa Miaka yote aliyokaa madarakanj alikopa 25 trilioni, Mwendazake kwa miaka 4 amekopa 35 trilioni, Hapa pana tatizo
 
Hivi vichama vinavyoongozwa na wachagga tabu tupu.

Vyama vimekuwa vitega uchumi binafsi, wanajumbatia vyama ili wapate title za kuvimbia mjini
  • TLP ( Mrema )
  • CDM ( Mbowe )
  • NCCR ( Mbatia )
Wachaga wanawatesa sana
 
Mbatia unasemaaaa
Serikali iombe radhi tuu
Unatania au ni dharau kwa walipa kodi?
Wewe ni mshirika wao
Kuna watu wanahitaji kuwajibishwa
Leo wanasema bashite asihojiwe how why
Takukuru sijui pccb msiwafanye watu wajinga
bashite sabaya mnyeti kingwa nani sijui biswalo dotto bushi nani sijui mpango mji sijui nani hawa wote hawapashwi kuwa mtaani period! Wana la kujibu
Hakuna chama kingine tangu tupate uhuru Kimeongoza zaidi ya ccm

wanyoshe maelezo watupe mchanganuo deni limefikaje hapaTanzania kwa mala ya mwisho kupigana vita ni mwaka 1978 sijasikia tena

Kila nikinunua bidhaa naomba receipts kodi nalipa inakuja deni kubwa hivi ndani ya muda nfupi nikiangalia Habari kila kona ya nchi watu wanalalamika Serekali tusaidie mwanzo hadi mwishi wa habari

Chama Cha Mapinduzi wakishindwa kunyosha maelezo zipigwe mmada mali za chama kulipa deni hakuna namna kuomba wana Nchi radhi kutapunguza deni?
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source: Clouds tv!
Dona Kantre inadaiwa ?
 
Tuombwe radhi alafu tulipe ? Unaonaje kama waliosababisha haya kama wengine bado wapo ndio walipe percent kubwa ?
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source:
Clouds tv!
Hivi Mbatiya bado ni Mbunge?
 
Serikali ya awamu ya 5, kwa zaidi ya 70%, iliendesha mambo yake kwa hila, hadaa na uwongo.

Serikali zote Duniani zinazominya uhuru wa habari huwa zinaendeshwa kwa kuwahadaa wananchi.
Hata China?
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source:
Clouds tv!
Hapo ni ccm anayoongoza nchi
 
Back
Top Bottom