Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo ππ
Wauzaji muwe mnasema kuwa tukimeza tusiende kazini
Wauzaji muwe mnasema kuwa tukimeza tusiende kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za ubuyu?Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo ππ
View attachment 3159973
Wauzaji muwe mnasema kuwa tukimeza tusiende kazini
Zinauzwa Kwenye Maduka Ya Dawa Za Kisuni Kwaajili Ya KuharaNi mbegu gani hizi?
Unaumeza ukiwa unataka nini kitokee?Mnyonyo
Japo sijawahi Kutumia ila nasikia sio poa unaweza ukapigiwa niagieni
Bado sijaelewa, unameza mbegu hizo ukiwa na dhamira gani?Kidogo iniue ,inaitwa habat mulik,ukila utaharisha sana ila dawa yake ni maji ya kwenye friji.ila mbegu zake ni sumu,ni Bora utumie Castrol oil
Huo ni mtu unaitwa mkaburi , unavitunda , vitunda vikikauka ndio ndani ukibambua unakutana na vitunda vinatest kama karanga mtu akikuchanganyia na karanga umekwisha πMnyonyo
Japo sijawahi Kutumia ila nasikia sio poa unaweza ukapigiwa niagieni
Ni dawa ya kusafisha tumboUnaumeza ukiwa unataka nini kitokee?
Mnyonyo
Japo sijawahi Kutumia ila nasikia sio poa unaweza ukapigiwa niagieni
ππ wqkati inachanganyika huko tumboni ulikuwa unajiona nani?Nilimeza ikapita kama masaa5 kumbe ngoma ndiyo inachanganywa huko tumboni πππ baada ya hapo ilikua mwendo wa kasongo yeyeeee
π₯Hatari sanaHuo ni mtu unaitwa mkaburi , unavitunda , vitunda vikikauka ndio ndani ukibambua unakutana na vitunda vinatest kama karanga mtu akikuchanganyia na karanga umekwisha π