Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo πŸ™„πŸ˜€

Mbegu ya mnyonyo baadhi ya maeneo kusini nwa Tanzania locals wanatumia kwa Family planning nmejionea kwa pts walokua wakifika na kunipa maarifa hayo
Wanakunywa hizo mbegu hawashiki mimba
 
Basi kuna watu wako tofauti, mie nilimeza mbegu 2 na sikuhisi wala kupatwa na lolote. "Labda zilikuwa karanga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…