Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀

Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀

Wabongo wanapenda sana kujaribu vitu bila kufuata ushauri wa wataalam ,unaweza ukadrive ukapoteza maji na ukagoshoa.

Dawa ya kupunguza mwili ni kuacha matumizi ya wanga/sukari na kufanya mazoezi tu....kwenda kufakamia hizo mbegu au kunywa mitishamba au detox unaweza ukaja kuua figo au kuvuta kamba au kung'ata shuka.
 
Wabongo wanapenda sana kujaribu vitu bila kufuata ushauri wa wataalam ,unaweza ukadrive ukapoteza maji na ukagoshoa.

Dawa ya kupunguza mwili ni kuacha matumizi ya wanga/sukari na kufanya mazoezi tu....kwenda kufakamia hizo mbegu au kunywa mitishamba au detox unaweza ukaja kuua figo au kuvuta kamba au kung'ata shuka.
Maugali yananenepesha sana wabongo halafu wanasingizia viti moto
 
Hiyo ni dawa ya kusafisha tumbo (jina limenitoka) inapatikana kwenye maduka yanayouza dawa za asili (wanayaita maduka ya kisuna).

Punje ni moja tu unatumia na wala siyo mbili ingawa mara chache baadhi ya watu hutumia mbili.

Muuzaji anakupa msisitizo sana muda wa kukupa maelekezo ya matumizi ya ke

Ukishatumia hiyo dawa unaharisha sana na wengine wanaharisha pamoja na kutapika

Ukishatumia hiyo dawa ni vizuri ukae karibu na choo pia kuwe na uji wa moto wa kutosha (kwa alivyonielekezaga yule m'baba)
 
Mnyonyo
Japo sijawahi Kutumia ila nasikia sio poa unaweza ukapigiwa niagieni
Sio mnyonyo il zinafanana .
Kule kwetu kijijini mti wake tunaupanda pembezoni mwa kaburi.
Yaani kwenye shimo kaburi zile pembe nne ila pembe inapanda huo mtu hata kuwe na kiangazi vipi unaota .utomvu wake ni dawa ya kidonda hata kama umejikata sehem ku wa vipi ukiweka utomvu huo ukafunga kitam baa kesho yake unakuta jeraha limejifunga kabisa.
Mbegu zake nyeusi zina kikonye cheupe uka tuuunaharisha hadi hewa
 
Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀
View attachment 3159973
Wauzaji muwe mnasema kuwa tukimeza tusiende kazini
Hizo ch mtoto kuna mzee aliniuzia vimawe 3 vidogo kama vile tunavyochambua kwenye mchele kwa kweli hata job nilishindwa kwenda kwanza nilitoa mzigo wa ajabu tangu nazaliwa sijawao kitu cha rangi ile kimetoka tumbon mwabinadam.
Yaani swkunde tuu tumbo linasokota utazani umemeza maji ya betri
 
Back
Top Bottom