Mbegu za kisasa ni ajenda ya kishetani na kiiluminati

Mbegu za kisasa ni ajenda ya kishetani na kiiluminati

Well said mkuu, ila ni ngumu sana kwa watu kufahamu nini hasa kinaendelea katika huu ulimwengu itabidi itumike nguvu ya ziada kuelewesha watu angalau madhara yasije kuwa makubwa sana kwetu huko mbeleni. Kwa wenye ufahamu na udhalimu huu unaoendelea tujitahidi kusambaza elimu kwa wanaotuzunguka.
Na haya maviongozi yetu mabichwa matupu yanayoshabikia kila tunacholetewa......nakumbuka kipindi cha kikwete viongozi wetu ndio walikuwa mstari wa mbele kusambaza hayo mambegu na kuwakomalia wananchi wayatumie

SONY Xperia Z5 Premium
 
Kupambana nao ni ngumu sana... Gates kaja Tanzania juzi hatujui malengo yake ni mazuri au ni mule mule


Wazungu wanajiwekea malengo ya miaka hata 50 mbele
Wakati sisi malengo ya chama ni ya miaka mitano mitano ya jinsi gani ya kupambana na upinzani na kuwabana wasifanye kufurukuta nyakati za uchaguzi na bajeti yote huwa inakwenda huko

SONY Xperia Z5 Premium
 
Na haya maviongozi yetu mabichwa matupu yanayoshabikia kila tunacholetewa......nakumbuka kipindi cha kikwete viongozi wetu ndio walikuwa mstari wa mbele kusambaza hayo mambegu na kuwakomalia wananchi wayatumie

SONY Xperia Z5 Premium
Hawa jamaa wana mizizi mirefu sana hakuna kiongozi yeyote atakaeweza kupingana nao kikubwa ni kuelimishana sisi wenyewe ndo itakuwa salama yetu
 
Mleta uzi chanzo chako ni; Salim msangi,

Huyu mtu Miaka ya 2014 nilipata kumfatilia sana, nachoweza kusema kama ubongo wako ni mwepesi waweza kuweweseka sana.

Ana conspiracy theory nyingi sana.. 666, freemasons & illuminator, New world order n.k.

Sasa Kazi ni kwako kutumia ubongo wako kuchanganua.
 
Mleta uzi chanzo chako ni;Salim msangi,

Huyu mtu Miaka ya 2014 nilipata kumfatilia sana,nachoweza kusema kama ubongo wako ni mwepesi waweza kuweweseka sana.

Ana conspiracy theory nyingi sana..666,freemasons &illuminator,New world order n.k.


Sasa Kazi ni kwako kutumia ubongo wako kuchanganua.
Kwanza wewe mwenyewe ni mtu mzungu hapo kwahiyo usitake kutubadilishia mkanda hapa......tuache hivyo hivyo na conspiracy theory zetu.....

SONY Xperia Z5 Premium
 
Kwanza wewe mwenyewe ni mtu mzungu hapo kwahiyo usitake kutubadilishia mkanda hapa......tuache hivyo hivyo na conspiracy theory zetu.....

SONY Xperia Z5 Premium
Mzungu ni nani...?

Wengi wenu mnashindwa kutofautisha hizi conspiracy theory..!

Na zikukutawala kwa kichwa chako haweweza kudhani mwisho wa dunia ni leo (waaminio)..

Mimi conspiracy theory nyingi nimezisoma tangu 2009... baadaye nikaziona nyingi ni za kipuuzi hivyo nikiachana Nazo... Jambo la muhimu tumia ubongo wako kisawasawa kuchanganua mambo unayosoma katika ulimwengu huu wa internet.
 
Mzungu ni nani...?

Wengi wenu mnashindwa kutofautisha hizi conspiracy theory..!

Na zikukutawala kwa kichwa chako haweweza kudhani mwisho wa dunia ni leo (waaminio)..

Mimi conspiracy theory nyingi nimezisoma tangu 2009...baadaye nikaziona nyingi ni za kipuuzi hivyo nikiachana Nazo...Jambo la muhimu tumia ubongo wako kisawasawa kuchanganua mambo unayosoma katika ulimwengu huu wa internet.
Ishu ya GMO si conspiracy mkuu ni absolutely fact
 
Ishu ya GMO si conspiracy mkuu ni absolutely fact
Sioni Tatizo labda kama sielewi vizuri
Mbegu nyingine mbona kama zinazalishwa hapa hapa kwetu nazo ni tatizo ?
Wao wanaozalisha hizo mbegu hawazitumii ?

Je ni uongo kwamba sehemu kubwa ya kusini mwa Afrika haina ardhi nzuri ?
Je hizi mbegu zimeanza kuleta madhara ama mafanikio yoyote ?
 
Huyu Bilgates anatumika sana kuiharibu dunia, miaka kadhaa iliyopita pia chini ya udhamini wake, watafiti walijigamba kutengeneza kizazi kinachotawalika, inasemekana Hawa wanasayansi wanampandikiza mtoto vimelea fulani kupitia kuanzia mama akiwa mjamzito hadi kujifungua na hata baada ya kijifungua wataendelea kumdunga masindani hadi miaka 5-6, kwa njia ya kuwashawishi wajawazito kuhudhulia kiliniki mapema pindi anapopata ujauzito,

Matokeo yake mtoto akikua anafuata kila anachoambiwa hata kama ni kibaya au kutoambilika hata kama anafanya makosa wakijinadi kwamba wanaenda na wakati.
 
Huwezi kuingia JF ukatoka mtupu. Moyo unauma kuona wakulima wetu hawajui madhara ya mbegu hizi. Hiv ikitokea siku mbegu asili zote zimetoweka na hawa mabwana wakagoma kutoa mbegu itakuaje? Si tutawasujudia? Kinachokera zaidi mbegu za GMO hazina ladha nzuri. Tunakulaga tu. Acheni mzaha jamani!!! Michele wa asili mtamu. Miaka ya nyuma ukipikwa wali mtaa mzima hoi kwa harufu maridhawa.
Mkuu nimekuelewa sana hoja yako pamoja na ya mtoa mada yaan baada ya miaka 10 hakutakuwa na zile mbegu za asili maana yake kila kitu kitakuwa ni kununua , ili uweze kulima na kuvuna kwa maana nyingine kilimo kwa maskini kitakuwa ni ndoto matajiri pekèee ndo watakao mudu hizi gharama


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Bilgates anatumika sana kuiharibu dunia, miaka kadhaa iliyopita pia chini ya udhamini wake, watafiti walijigamba kutengeneza kizazi kinachotawalika, inasemekana Hawa wanasayansi wanampandikiza mtoto vimelea fulani kupitia kuanzia mama akiwa mjamzito hadi kujifungua na hata baada ya kijifungua wataendelea kumdunga masindani hadi miaka 5-6, kwa njia ya kuwashawishi wajawazito kuhudhulia kiliniki mapema pindi anapopata ujauzito,

Matokeo yake mtoto akikua anafuata kila anachoambiwa hata kama ni kibaya au kutoambilika hata kama anafanya makosa wakijinadi kwamba wanaenda na wakati.
inasemekana.
 
Tuhifadhi mbegu zetu za asili ndio dawa maana ukiangalia matikiti maji, vitunguu saumu, mapapai, mahindi, mpunga, viazi vyote na vitunguu maji kilio tupu
 
Africa [emoji288] ni bala Giza sana
Unamkwepaje mzungu na wakati unatumia vitu ambavyo akitaka kukuua anatumia ivyo vitu
1. Dawa za HIV
2. Dawa za kifua kikuu
3. Dawa za kuzuia mimba
4. Dawa za malaria
5. Matumizi ya simu
6. Matumizi ya internet
7. Matumizi ya malipo
8. Matumizi ya kuku wa nyama
9. Matumizi ya kuku wa mayai
10. Matumizi ya vyakula vya makopo kutoka ulaya na Asia (Lactojen)
11. Dawa za kuzuia mimba isitoke kwa wamama wajawazito wenye matatizo ya kutoka kwa mimba
12. Madawa yote tunawategemea wao
13. Dawa za malaria


Hapo unakuja na mawazo ya kipuuzi eti mbegu izo zinaua vizazi vya mbegu zetu, mkae mkijua awo wazungu wakija wanakutana na wataaramu wetu wa kukopi na kupest na wanapewa maelekezo jinsi ya kufanya.

Mzungu aepukikiki hata kidogo

Kila kitu unawategemea wao, mpaka misaaada ya Bajeti ya nchi, tunawategemea wao

Mzungu aepukikiki acheni mawazo ya kibange bangi.
 
Na kama sikosei ili kubana vizuri, Monsanto wameinunua Bayer ili kumonopolise vizuri
Bro nipo bayer, ndiyo wameinunua, ila Mosanto wala BAYER au kampuni yoyote hairuhusiwi kuingiza Au kuuza GMO, Labda kama watu hawaelewi GMO ni nin?



jw library
 
Sioni Tatizo labda kama sielewi vizuri
Mbegu nyingine mbona kama zinazalishwa hapa hap kwetu nazo ni tatizo ?
Wao wnaozalisha hizo mbegu hawazitumii ?
Je ni uongo kwamba sehemu kubwa ya kusini mwa Afrika haina ardhi nzuri ?
Je hizi mbegu zimeanza kuleta madhara ama mafanikio yoyote ?
Mkuu watu wanachanganya mambo, mtu haelewi GMO ni nini? Anaishia kusema GENETIC MODIFIED ORGANISM, hatuna GMO hapa, kati ya mambo ambayo serikali imeweza ni kutokusajiri G.M.O

JW library
 
Back
Top Bottom