Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Bora uwaeleze, watu wengi wana Mawazo kuhusu izo GMO. Kuna mambo mengi ya kitaalamu wana siasa wanayaingilia na yanaleta matatizo mengi katika Jamii. Mfano mzuri kuna wataalamu wetu waliuaawa apo Dodoma, eti walihisi ni nyonya damu.Mkuu watu wanachanganya mambo, mtu haelewi GMO ni nini? Anaishia kusema GENETIC MODIFIED ORGANISM, hatuna GMO hapa, kati ya mambo ambayo serikali imeweza ni kutokusajiri G.M.O
jw library
Yaani Africa [emoji288] watu tuna uelewa mdogo sana