Mbegu za kisasa ni ajenda ya kishetani na kiiluminati

Viongozi wa wapi! Kinachosababisha ni umaskini uliolikumba bara letu. Nawasomi wetu ambao hawatumii ELIMU walizopata kwa faida ya INCHI zao.
Madhara mnayajua lakini hamchukui hatua yoyote na haya ma viongozi yetu majinga jinga.
 
Well said mkuu. Sisi tunawategemea wazungu. Je wao wanamtegemea nani?
 
Kwa hiyo mtu akufanyie research and development ya billions of dollars ili wewe uje uvune mazao kocho kocho bila gharama yoyote. Ingia deep kidogo utafute source ya motivation yao.You will be surprised.
Mkuu mbona unatumia gari, na ndege kwa usafiri badala ya miguu. Huwezi kukataa maendeleo ya sayansi na tekenolojia ya wazungu kwa kuhoji motivation behind. Mzungu mara zote anatumia akili ili kutatua changamoto mbalimbali kwenye jamii.

Sasa kama unadhani tatuzi za matatizo zina madhara haina budi uachane nazo.

Hata hivyo nashangaa baadhi ya watu kukataa pembe jeo za kilimo (GMO) kwa kukomenti hapa kwa kutumia smartphones za wazungu.

Kweli Africa tuna kazi
 
nakumbuka enzi zile mbegu za asili za mahindi kama kilima,kagili,ilonga na n.k!siku hiz hazipo kabisa!!!
 
Mkuu siyo kwamba hawajui, ila hawajapewa taarifa, inaweza kuwa makusudi au kwa baht mbaya
 
Kwanza wewe mwenyewe ni mtu mzungu hapo kwahiyo usitake kutubadilishia mkanda hapa......tuache hivyo hivyo na conspiracy theory zetu.....

SONY Xperia Z5 Premium
Mkuu ukweli umeongea kitu safi kabisa watanzania wengi ni wajinga mno kitendo cha kuumiza kichwa kufikiria jambo anaona ni ujinga bora akaangalie bongo movie au wasafi festival ya kina diamond kijana kama huyo ambae pengine ana familia yake anaita hizo ni conspiracy ni jambo la kusikitisha sana na ndio maana mipango yao hawa wakuuu inafanikiwa sana kwa sababu ya watu wajinga wa hii aina na kwa mtindo huu tutakufa tu
 
Kweli tupu kabisa!

Bahati mbaya wanadamu ambao ndio walengwa wa hizo mbinu hizo, ndio wa kwanza kupinga, kubeza uchambuzi huu na badala yake kuzishangilia na kuzifurahia mbinu za kuwamaliza kama Haki za Wanawake, za Watoto, Chanjo, Mbegu za kisasa nk. Binadamu amefanywa kama broiler atalishwa kidogo na baadae kuchinjwa
 
Nakubaliana na wewe. Na hapa Tanzania kampuni zinazoleta hizi sumu hapa nchini ni pamoja na Syngenta, Bayer, Bolton na agent wao wapo na baadhi ya maprofesor wa vyuo vyetu vya kilimo nchini wanapokea kifunga mdomo wafumbie macho na kutokuishauri serikali vizuri.

Kwa kweli mbegu zao zote pamoja na mbolea kama Yara na mbegu zote za Dekalb zitokazo South Africa zinatakiwa zichunguzwe na kuhakikiwa na serikali. Takukuru ihusike. Tumsome Mwana harakati Vandana Shiva tutaipata Somo zuri.
 
Mimi huwa najiuliza kwa Nini mbegu za mazao zitokanazo na mazao ya mbegu zao hazioti? Yaani ukitaka kupanda lazima uende ukanunue mbegu zao..Inawezekana hata mazao ya mbegu zao ni ugonjwa mtupu, ndio maana vyakula vinaleta maradhi,,vimelea vya ushoga na kuharibu ardhi yetu.

Mimi huwa naiogopa Sana fate ya gmo maana ukiacha mazao hata wanyama nao wamewaharibu ng'ombe,,mbuzi, kuku.Unakuta maziwa tunakunywa ya kisasa , mayai ya kisasa, nyama ya kisasa na nafaka ndio usiseme.Sasa mutation iliofanyika kwenye Gene za hivyo vitu unakuta inahamia mpaka kwenye miili yetu.

Ndio maana tunashuhudia maajabu yasioelezeka.
 
Batanzanie waione hii
 

Baambie
 
Somo zuri sana
 
Kila nikisoma hili bandiko, nasema haya ni mafunuo ya kweli ya kiroho na yasiyo ya kibinadamu. Muda utaongea. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…