Mbele kwa mbele Wagner waanza safari ya Moscow huku wakishambuliwa kutoka angani

Mbele kwa mbele Wagner waanza safari ya Moscow huku wakishambuliwa kutoka angani

Akuue kwa lipi mkuu, Urusi huwa iko hivyo kila ikipita vizazi kadhaa wanaamua kuuana kidogo. Wagner haiwezi ongoza nchi, ni sababu ya uasi au inatia moyo waasi wenye utulivu kuona kumbe inawezekana.

Attention ya Putin imehamia kwa Prigozhin kumzuia, maghala ya silaha yatafunguliwa na hapo ndipo majenerali na watu wenye hekima wanaweza fanya mapinduzi halisi maana siku nyinginezo movements kama hizo wasingepata.
Aisee mchambuzi Sele bonge, baba ntilie.
 
Tuamini lipi kati ya haya mawili

SmartSelect_20230625_020954_Samsung Internet.jpg
 
Urusi ilikua inanifurahisha kipindi inacharaza kipigo magaidi akina ISIS
Ila kwa sasa inapiga machoko wa kimagharibi unawachukia,, sasa jua urusi hawapo kwa ajili ya kukufurahisha wewe kubwa jinga sawa!!
 
Kwamba wamemtetemesha Putin hadi akaingia makubaliano nao ndio cha msingi, wamekubali kwenda uhamisho Belarus.
Japo singependa huyu mzee awe rais wa Urusi, jameni angeifanya Urusi iwe taifa la kigaidi gaidi kama Iran ilivyo ya majihad.
🙏👍
 
Kwamba wamemtetemesha Putin hadi akaingia makubaliano nao ndio cha msingi, wamekubali kwenda uhamisho Belarus.
Japo singependa huyu mzee awe rais wa Urusi, jameni angeifanya Urusi iwe taifa la kigaidi gaidi kama Iran ilivyo ya majihad.
Ni wajinga tu walikuwa wanafikiri kuna uasi.uasi gani sasa Wagner wanapiga selfie na wananchi na wananchi wanapiga selfie na magari ya kijeshi.
 
Ni wajinga tu walikuwa wanafikiri kuna uasi.uasi gani sasa Wagner wanapiga selfie na wananchi na wananchi wanapiga selfie na magari ya kijeshi.

Nimeona hili andiko lako nikacheka baada ya kukumbuka namna mlijificha jana, kwanza wewe ndio uilikua umeingia kwenye handaki la JF, sasa mumepata afueni ya kuibuka na kuandika andika.
 
Nimeona hili andiko lako nikacheka baada ya kukumbuka namna mlijificha jana, kwanza wewe ndio uilikua umeingia kwenye handaki la JF, sasa mumepata afueni ya kuibuka na kuandika andika.
Nilikua mbona nachati humu huku nikiwaambia kuwa ni wajinga tu wanaofikiri kuwa putin atakutana na kitu chochote.
 
Kelele za muda mfupi tu hizo... soon mtasikia ya kusikia ndo mtajua Putin ni mwamba...

tunawapa siku tatu-mchangamshe kidogo bongo zenu.. maana team magharibi mlilala sana.....
viva russia
Wewe huna tofauti na Alsayaf yule waziri wa habari wa Saddam Hussein 😂
 
Ni wajinga tu walikuwa wanafikiri kuna uasi.uasi gani sasa Wagner wanapiga selfie na wananchi na wananchi wanapiga selfie na magari ya kijeshi.
Akil zako bana , ulikuwa bunker , umesikia wanarudi kambin ndo umejitokeza , kumbe wagner tu inawatikisa , sasa hayo mataifa 30 huwa mnapigana nayo wap
 
Nilikua mbona nachati humu huku nikiwaambia kuwa ni wajinga tu wanaofikiri kuwa putin atakutana na kitu chochote.
Saa 3 usiku sio ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Muda mchache kabla ya Kidume Prigo kuanza kurud ghetto kwake , warusi mkiwa tumbo ya jotoo
 
Back
Top Bottom