Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Maisha ya watanzania yamefikia hapo😛 😀 😛Aloo kumbe betting ni ajira rasmi hadi watu wa karibu na wewe mchambuzi wa mambo ya kijamii wana bet tukaze buti tuweke mikeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ya watanzania yamefikia hapo😛 😀 😛Aloo kumbe betting ni ajira rasmi hadi watu wa karibu na wewe mchambuzi wa mambo ya kijamii wana bet tukaze buti tuweke mikeka
Kama akadaiKuna jamaa yangu alishinda kama 3,000,000 hajalipwa mpaka leo na mkeka wenyewe wameshaufuta.
Nyingi Ni feki Ila sometime zinakuweko , wakijua mechi utaona imefungwa odds kabla haijaanza . Au walio ibetia hawatalipwaMkuu hakunaaaa fxd inayosmbaaa hizo n feki....na kampuni hawana nguvu ya kukutalia pesa yako kamwe kuna mambo mengi tu walikupa hio fxd
Endelea kushikilia upumbavu wako , usielimike na tunachokuelekezaWewe itakua chawa wa hiyo kampuni ya kimasikini ya m bet
Chawa unakasirika nini wewe ni kenge tu na huna Cha kunifanyaEndelea kushikilia upumbavu wako , usielimike na tunachokuelekeza
Siwezi hangaika na kinyesi Kama weweChawa unakasirika nini wewe ni kenge tu na huna Cha kunifanya
Wewe choko tu na huna la kunifanya unanuswa nyumaSiwezi hangaika na kinyesi Kama wewe
Sema siaona hoja ya maana toka kwako, M-bet ina mwaka wa ngapi Tanzania, Simba wameanza juzi tu.Wewe mgeni kwenye tasnia hii sio endelea na ubishi naona unaeleta ligi kama unaona waaminifu endelea kubeti m bet maana wateja ni mashabiki wa simba walioanza kubet baada ya kudhaminiwa na m bet.
Huko uingereza mpaka serikali inayafakari la kufanya, maana wanabeti kweli,hadi mishahara, mwisho wanaishi maisha magumuMaisha ya watanzania yamefikia hapo😛 😀 😛
Ukamaria ni uraibu mkubwa sana...Huko uingereza mpaka serikali inayafakari la kufanya, maana wanabeti kweli,hadi mishahara, mwisho wanaishi maisha magumu
Sport pesa ni kampuni ya kubetia au kitukoKiukweli sidhani kama kuna kampuni ya betting iliyo safi kihivyo. Mfano SportPesa nimegundua wanakutajia kiwango utakachoshida kama mkeka ukitick baada ya kodi, ila ukishalipia tu mkeka wako, kiwango kile kinapungua na si kwa pesa ndogo
Ila si ndiyo wanadhamini matimu kibao katika ligi wakiwemo mabingwa mara 3 mfululizo? Unaweza kuwa na hoja ila uwasilishaji wako una tatizoSport pesa ni kampuni ya kubetia au kituko
Mpaka ituue 🤣😂🤣Ukamaria ni uraibu mkubwa sana...
Ukiona mtu anabet kwenye kampuni Kama sportpesa, mbet, sokabet, premier bet, sijui meridian, jua huyo mtu bado ana kamba mguuniIla si ndiyo wanadhamini matimu kibao katika ligi wakiwemo mabingwa mara 3 mfululizo? Unaweza kuwa na hoja ila uwasilishaji wako una tatizo
Kampuni ulizozitaja ndio kampuni zenye wateja wengi Tanzania , na zilizodumu kwa muda mrefuUkiona mtu anabet kwenye kampuni Kama sportpesa, mbet, sokabet, premier bet, sijui meridian, jua huyo mtu bado ana kamba mguuni
Aliscreenshoot awapeleke mahakamaniKuna jamaa yangu alishinda kama 3,000,000 hajalipwa mpaka leo na mkeka wenyewe wameshaufuta.
Ndiyo ushauri wangu kwake.Aliscreenshoot awapeleke mahakamani
Nadhani kutokana na dhana iliyojengeka kuhusu ubashiri, watu wanaogopa kuchukua hatua pale wanaposumbuliwa katika malipo. Na hii inakuwa ni advantage kwa haya makampuni maana wanajua watu hawataki kujulikana wanabashiri.Ndiyo ushauri wangu kwake.