Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaaaPole sana Kwa kutumia kampuni la matapeli najua utakua shabiki wa simba maana nyie wenye ushabiki wa simba na yanga ndio mnaobetiaga m bet na sport pesa kwakua ndio mnaanza kubet🤣🤣🤣🤣
Sasa ipi kampuni mzuri kubeti?Ukiona mtu anabet kwenye kampuni Kama sportpesa, mbet, sokabet, premier bet, sijui meridian, jua huyo mtu bado ana kamba mguuni
Ni kweli lakini sababu kundi kubwa linalobet lipo nyuma Sana, ndio maana ukienda buguruni, tandale, keko, vingunguti hizo kampuni ndio zinaongoza. But for serious and matured bettors hawatumii hizo kampuni kabisaKampuni ulizozitaja ndio kampuni zenye wateja wengi Tanzania , na zilizodumu kwa muda mrefu
Yaani ukiweka mikeka yale matumaini yanavokupa vibe,na kuufuatilia ndiyo usiseme,kuna raha yakeUkamaria ni uraibu mkubwa sana...
M bet wacheleweshaji,wakati naanza nilikua nabetia huko,hela umekula saa nne usiku,hela unapata kesho mchana, mwana alikua 36k kwa tsh 200 meridian ilichukua siku nne kupataLabda tatizo la mtandao hayo makampuni hela zimejaa
Bado wapo vizuri kulinganisha na kampuni nyingiBetpawa wanna uhuni wa kuzuwia cash out kwa kutotoa matokeo live ya baadhi za mechi ambazo livescore matokeo yapo live
Wanaweka game nyingi ila wahuni,hawa jamaa walionunua hii kampuni wahunihuni kwenye cash out tofauti na wa mwanzoBado wapo vizuri kulinganisha na kampuni nyingi
Ukishinda piga picha mukutane Mahakamani.Kuna jamaa yangu alishinda kama 3,000,000 hajalipwa mpaka leo na mkeka wenyewe wameshaufuta.
Mm nazungumzia ambazo zipo viUrit Kama Kuna wanaopata changamoto basi ni kwa uchacheHao helabet wapumbavu sana,ukideposit pesa hauioni ukishinda pesa hawakupi
Cashout ni kama favour tu, ikiwa inasumbua sio issue SanaWanaweka game nyingi ila wahuni,hawa jamaa walionunua hii kampuni wahunihuni kwenye cash out tofauti na wa mwanzo
Eh kumbe betpawa ilishafanyiwa manunuziWanaweka game nyingi ila wahuni,hawa jamaa walionunua hii kampuni wahunihuni kwenye cash out tofauti na wa mwanzo
Duh!Kuna jamaa yangu alishinda kama 3,000,000 hajalipwa mpaka leo na mkeka wenyewe wameshaufuta.
Ilikua jackpot??Kuna jamaa alishinda 2.5M hiyo ilikuwa 2019, siku mbili zimepita akatumiwa 200k kuuliza akaambiwa washindi walikuwa wengi so kampuni imefanya kama kamgao tu! 😂😂 Kijana alilaani tu, hapo alipataga hadi mawazo ya biashara akiwa anaona chuo jau
Muda,tangu 2022 nadhaniEh kumbe betpawa ilishafanyiwa manunuzi
Wengi hufuata cash out mkuuCashout ni kama favour tu, ikiwa inasumbua sio issue Sana