Mbeya: Askari wa JWTZ amuua Baba yake kikatili akimtuhumu ushirikina

Poleni wafiwa. Hii inashangaza sana. Tumezoea kusikia haya ya imani za kichawi katika familia masikini na watu ambao hawakwenda shule. Hii familia inaonekana ilikwenda shule kwa kiasi cha kutosha tu! Au kukosa hofu ya Mungu?

Ukikosa hofu ya Mungu, unaweza chapisha makaratasi ya kura na kujipigia wewe nyumbani na kuzipeleka kwenye vituo vya kupigia kura chini ya ulinzi wa polisi!!
 
We jamaa umeongea upumbavu mtupu kwa akili yako unadhani kanda ya ziwa yote unawazidi kwa utajiri? Au unawalisha kiasi kwamba useme hawatafuti pesa,kitu ambacho wakaskasini wanapigwa na wengi ni ule utafutaji wa dhuluma kwa watu wengi wa kasikazini.
 
We jamaa umeongea upumbavu mtupu kwa akili yako unadhani kanda ya ziwa yote unawazidi kwa utajiri? Au unawalisha kiasi kwamba useme hawatafuti pesa,kitu ambacho wakaskasini wanapigwa na wengi ni ule utafutaji wa dhuluma kwa watu wengi wa kasikazini.
Kanda ya ziwa ndo kanda ambayo mara kwa mara inatoa mikoa na wilaya zinazoshika nafasi za juu juu kwa umasikini Tz japo dhahabu inapatikana huko kilicho kosekana ni akili ya maendeleo tu , akija mtu akipiga kampeni kwa kisukuma anajizolea kura za kutosha miaka nenda miaka Rudi huku umasikini ukiendelea kuwa wa kiwango Cha lami.

Mikoa ya shinyanga imefanywa kama shamba vile inavunwa dhahabu alafu inaachwa ikiwa imechakaa na wananchi hawashituki wala nini Yani.
Huwezi kulinganisha na kaskazini shughuli kubwa ni utalii na kilimo lakin miundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja ni makubwa
 
Atakua mchaga huyo,
 
Watoto na wazazi
Watt kipindi hiki wamevurugwa hofu ya mungu hakuna
Mambo hayaend mzz akizingua nae anamzingua
 
Uovu hauna kabila wala rangi ni wajinga wachache wenye chuki na makabila ya wengine Sasa na huyu wa mbeya naye ni mchaga?
Uhalifu na ushetani hauna kabila wala rangi
 
jamani kuna nini kati ya wazazi na watoto!!!!!
Malezi siku hizi ni balaa kabisa, mabinti wanachinja mama zao, vijana wanachinja baba zao wa kuwazaa kabisa, Kuna kitu hakiko sawa kabisa kwenye jamii. Unawezaje kuchinja mama au baba yako aliyekulea mpaka hapo ulipo.
 
Mimi naona ungeuliza swali hivi kuna nini kati ya vijana na hii serikali vijana kukosa ajira wamekua mbogo wana frustration za kutosha
Kukosa ajira sio justification ya mauaji maana hata huyu muuaji mbona ni mfanyakazi,.
 
Huu mwaka wazazi tukae chonjo
Hawa watoto wa sikuhizi wamevurugwa

hata sebuleni tukae na viatu ili wakileta ubandidu unafunguka nduki tu
Ni mwendo wa kuviziana tu[emoji1787][emoji1787]

Ni Mungu pekee ndo atakayetuokoa na hii hatari iliyo mbele yetu[emoji24][emoji24]
 
Mimi naona ungeuliza swali hivi kuna nini kati ya vijana na hii serikali vijana kukosa ajira wamekua mbogo wana frustration za kutosha

sasa mzazi wako anahusikaje na hilo!!

msomi anajua kabisa serikali ndio tatizo,anaua mzazi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…