Mbeya: Askari wa JWTZ amuua Baba yake kikatili akimtuhumu ushirikina

Mbeya: Askari wa JWTZ amuua Baba yake kikatili akimtuhumu ushirikina

Singo maza sasa tupumue tena kidogo.

Hii tabia ya kuua wazazi naona imeenea.

Mi waniue tu ila ajue tutaongozana kila anapoenda akilala ninae hata awe na mkewe mie nitakuwa hapo katikati yao, waniue wakome
 
Lakini yule mama amehojiwa akasema kwamba kijana alikuwa tu anagombezana na baba yake kuhusu ulevi hajatamka neno la ushirikina..
 
Wazazi acheni ubinafsi , wazazi kaeni na vijana wenu....vijana wamevurugwa kitaa hapasomeki hali imekuwa..TANZANIA INAKWENDA KUWA KAMA SOUTH AFRICA MTOTO HATOONA TENA ISHU KUMUONDOA MZAZI UHAI WAKE KISA MALI....WAZAZI MSICHEKELEE KUWAONA WATOTO WENU WANATESEKA MTAANI ETI NDIO WANAJIFUNZA MAISHA MTAKWISHA SHAURI YENU.....
 
Na kijana ameuawa?

alichapika sana baada ya kuua

unajua ilikua jana mchana,katoka alikotoka nadhani alikua anatafuta muda mrefu kutimiza lengo lake,akaingia ndani akamchomachoma visu mzee wake halafu akatoka nje keshachanganyikiwa anasema keshamaliza kuchinja kuku sasa yuko salama

basi mama yake akatoka nje kupiga makelele ndio raia kufika pale kukuta kaua basi wakaanza naye kumpiga kabla police hawajafika...wanafika katepeta sanaaaa kaenda kufia hospitali ya rufaa mbeya
 
Singo maza sasa tupumue tena kidogo.

Hii tabia ya kuua wazazi naona imeenea.

Mi waniue tu ila ajue tutaongozana kila anapoenda akilala ninae hata awe na mkewe mie nitakuwa hapo katikati yao, waniue wakome
Utashangaa muuaji ni yule binti yako kipenzi,shemeji msimamo wako utakuwa huo huo wa kimfuata popote?
Kib... kwema?
 
Utashangaa muuaji ni yule binti yako kipenzi,shemeji msimamo wako utakuwa huo huo wa kimfuata popote?
Kib... kwema?
hope can't be lulu maana ananibembeleza sana nikakae naye ila sijaamua tu.
 
Wasingemuua aishi kwa mateso mpk anakufa, pumbavu zake, kama kichwa chako ni please wait... au network searching pombe sio level zako.
 
Wazazi acheni ubinafsi , wazazi kaeni na vijana wenu....vijana wamevurugwa kitaa hapasomeki hali imekuwa..TANZANIA INAKWENDA KUWA KAMA SOUTH AFRICA MTOTO HATOONA TENA ISHU KUMUONDOA MZAZI UHAI WAKE KISA MALI....WAZAZI MSICHEKELEE KUWAONA WATOTO WENU WANATESEKA MTAANI ETI NDIO WANAJIFUNZA MAISHA MTAKWISHA SHAURI YENU.....
Hili la serikali kusababisha ugumu wa maisha, vijana wamekata tamaa mzazi hausiki hapa
 
Ukiua mtu umewasha bluetooth on huwezi kuwa sawa
 
Stress zitamaliza watu, hali ya uchumi imekuwa tete watu hawaelewi kabisa yani
 
Back
Top Bottom