Mbeya: Askari wa JWTZ amuua Baba yake kikatili akimtuhumu ushirikina

Uchawi mkuu, kuna wazazi wanawaroga au kuwatoa kafara watoto wao na kuishia kuwatumikisha wasiweze kuwa na maendeleo yoyote........hapa ndo utajua ngozi nyeusi ni jamii iliyolaaniwa.
Mtoto wako mwenyewe umzuie maendeleo?Hatari!
 
Duh!!!
Tetesi za kitaa ni kweli kwamba dingilai alikuwa mshirikina au ukichaa wa afande tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…