Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Tatizo hizi series mnazoangaliaga huku umening'iniza kaynday sofani sebuleni kwa shemeji yako zinawadanganya sana.Siku ukijikuta una hasira Sana kabla ya kuchukua hatua, kunywa glass mzima ya maji, au hesabu mpaka kumi au mpigie simu mama yako au mtoto waku umsalimie.
Watu wanatakiwa kuwa wavumilivu na kujifunza kama Lowasa.Na alivyo zumbukuku saa hizi atakuwa analia tu huko mahabusu. Tuwe na simile. Hata kama mtu kakujibu au kukuuliza bila adabu unapaswa kutulia kwanza kabla hamjajibizana mbovu. Mengine tujifunze kuudhiwa. Haung'oki ngozi. Ona sasa! Shida tupu!
Ikitokea hivyo ndugu zake wasikubalu watumie njia zingine za kimatumbi.Huyo anatoka tu kesho
Yote hayo huwa wanayafanya kwa sababu ya stress za maisha..Amefanya vibaya sana, ila kati ya watu wapuuzi na wasiojielewa ni hao wa parking, wanajiona wababe sana, wana ujinga wa kutisha, wanaweza beba gari lake kupeleka yard kizembe tu, yani hao watu ni wajinga kweli...
Alithamini 7500 zaidi kuliko Mali alizopewa na Mungu.7500 inasababisha akose kila kitu
Watu wa madini akili zao sio Sawa, kuua na kuuwawa ni kama mchezo hivi.Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.
Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.
My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.
----
Polisi mkoani Mbeya inamshikilia Ezekia Luhwesha (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini mkazi wa Matundasi Chunya,kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi wakala wa maegesho ya magari William Mgaya (58) baada ya kumshinikiza alipe deni la Sh.7500 ya uegeshaji gari lake (Toyota Hilax)
Kamuua "mzazi" wake kwa ujinga,kiburi na kutokuwa na maono.Kama hajasingiziwa basi ni very stupid creature!
Sijui pepo gani lilimpata huyu kijana.Ukivaa viatu vyake unajisikia vibaya sana.Mungu wa mbinguni amsaidie.Umewaza kama mimi nimecheki age difference yao ni aweza kuwa sawa na dingi ake
Mwenye helaa hafungwii kaka...!!Una gari la zaidi ya mln 40
7000 tu inakupeleka jela...
Huyu jamaa ndezi kweli
Ova
Atatumia hela zake zote ili atokeMwenye helaa hafungwii kaka...!!
... sijui al-Hamza aliwapatia vipi hadi kuwapora 2 mchana kweupe akiibukia baharini pale Ambassade de France! Al-Hamza chimbo lake lilikuwa huko huko Chunya; panatakiwa kumulikwa.Ukiwa na silaha unajisikia kama kupiga piga hivi silaha inakushawishi sana we uoni polisi wakiwa nazo smg kwenye lindo za bank uwa wanavyojiona..
Ila hela ya parking inauma sana mbaya zaidi ukutane na king'ang'anizi. Ulimi ni kiungo hatari sana.Haiingilii akilini kweli 7.5k ndo yakukuweka gerezani wakat nikitendo cha kufumba tu macho unamwachia cha 10 naye akanywe hata soda mmalizane
... ni wapuuzi hasa! Bora za kulipia online ila za cash ni maudhi tupu.Sijashangaa sana kwa nuture ya hao watu wa parking.
Poleni wafiwa.
Huyu mfanya biashara lazima tu atakuwa ni MwanaccmMtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.
Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.
My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.
----
Polisi mkoani Mbeya inamshikilia Ezekia Luhwesha (31) mchimbaji na mnunuzi wa madini mkazi wa Matundasi Chunya,kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi wakala wa maegesho ya magari William Mgaya (58) baada ya kumshinikiza alipe deni la Sh.7500 ya uegeshaji gari lake (Toyota Hilax)
Kuna wenye bunduki wastaarabu tuThe psychology behind owning a gun watching American movies ni kitu watu hawaelewi. A gun will make you live a gangster life, treating everyperson who throw dirty words an enemy then kaboom for no life saving reason u kill🙂
The moment you own a cobalt or the like around you, you feel like nobody should even answer you,You hardly use common sense everything feels kukinukisha.....