Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

Mbeya: Auawa kwa kupigwa Risasi kisa kudai ushuru wa maegesho wa shilingi 7,500

Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.

Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.

View attachment 2428915

Amefanya vibaya sana, ila kati ya watu wapuuzi na wasiojielewa ni hao wa parking, wanajiona wababe sana, wana ujinga wa kutisha, wanaweza beba gari lake kupeleka yard kizembe tu, yani hao watu ni wajinga kweli...
 
Kosa moja ndiyo mlitafute kosa lingine kusahihisha la kwanza?Tuchukulie kwamba na yeye angepigwa na wananchi hadi akafa.Enhee,ndiyo suluhu?
Unafiiri nani angetoa malalamiko?
kwa akili yako unafikiri kuna sheria itachukua mkondo wake hapo? Never, nchi yetu uiwa na pesa unashnda vikwazo vyote.
 
Back
Top Bottom