Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna afya ya akili hapo.Afya ya akili haya mauaji ya namna hii marekani ni mengi Sana
Afu eti Ni tajiri wa madini..Kilichokosekana Ni busara na subira aka act kwa kiburi Cha Pesa.Haiingilii akilini kweli 7.5k ndo yakukuweka gerezani wakat nikitendo cha kufumba tu macho unamwachia cha 10 naye akanywe hata soda mmalizane
Mtu mmja aliyejulikana kwa jina la William Mgaya ambaye ni wakala wa kukusanya ushuru wa magari ameuawa kwa kupigwa risasi na mfanyabiashara wa madini kutoka Chunya.
Polisi wa Mbeya wanamshikilia mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.
My Take
Serikali kuweni makini na kuwapa watu silaha, siyo kila mwenye vijisenti anafaa kupewa silaha.
View attachment 2428915
Kosa moja ndiyo mlitafute kosa lingine kusahihisha la kwanza? Tuchukulie kwamba na yeye angepigwa na wananchi hadi akafa. Enhee, ndiyo suluhu?Watu wangemshambulia huyo tajiri ungesikia "WANANCHI MSIWE NA TABIA YA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI"
Uishi Maisha marefu mkuuHizi silaha zinakufanya ujiamini "ki-shwaziniga" sana,unaweza piga risasi nzi aliyetua kwenye bilauri ya mvinyo wako!
Unafiiri nani angetoa malalamiko?Kosa moja ndiyo mlitafute kosa lingine kusahihisha la kwanza?Tuchukulie kwamba na yeye angepigwa na wananchi hadi akafa.Enhee,ndiyo suluhu?
Kwa wenye ushamba nazoSema pesa inaleta jeuri sana, sasa utasema huyo jamaa alikosa 7500 kweli?
Si kweli na si kwa wote.Muacheni alale lupango huku anasubiri hukumu yake.Unafiiri nani angetoa malalamiko?
kwa akili yako unafikiri kuna sheria itachukua mkondo wake hapo? Never, nchi yetu uiwa na pesa unashnda vikwazo vyote.