cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadaye[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadaye[emoji16]
Eti balozi wa marekani ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya Ccm 😂😂😂,watanzania wote tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana yaaniAsante kwa taarifa, kiukweli kutembelewa na a US Ambassador ni heshima kubwa!, hivyo Sugu yupo juu sana, ila sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.
Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Asante Kwa taarifa,Hapana, huyu ni dereva wa mpito tuu kutokana na lile tukio, ataishia 2025.
P
Matusi hayatakuondolea umasikini😂😂😂 Ah KMMK
No sio Balozi wa Marekani tuu, bali mabalozi wote hawaruhusiwi kujiendea popote kwenye nchi ya ugenini bila ruhusa kutoka kwa mwenyeji. Wakitaka kwenda popote, lazima watume NV, MFA, kuomba kibali, wapewe ruhusa kupitia NV ndipo Balozi asafiri deep interior.Eti balozi wa marekani ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya Ccm 😂😂😂,watanzania wote tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana yaani
Eeh wanafaze outAsante Kwa taarifa,
Sio ninaweza kuwa sahihi, bali huo ndio utaratibu, kwa mujibu wa The Vienna Convention. Wakiisha omba ruhusa, mwenyeji anajiridhisha kama hapo Balozi alipoomba kwenda ni salama, then wanamruhusu kwa kumpa kibali kupitia NV.Unaweza,ukawa sahihi lkn ikiwa,balozi aliomba ruhusa ya kumtembela sugu na wao wakakataa lazima ingeripotiwa,lkn pia wangeulizwa kwnn, kuna muda hata wao wanaruhusu mambo yafanyike ili kuziba mambo mengine
Nimekumbuka alivyofanikisha ile african hiphop summit dar es salaam
Kwakuwa ww n katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha watoa taarifa chadema huwezi kuona unachofanya kama ni sahihi au siyo sahihiMatusi hayatakuondolea umasikini
Hii wakiiona wanafura kama koboko mjane.....
Huna hoja , jitahidini kuchangia bila matusi .Kwakuwa ww n katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha watoa taarifa chadema huwezi kuona unachofanya kama ni sahihi au siyo sahihi
Ata ccm wangekua wapinzani nao,wangewapigania wananchiSababu kubwa ni msimamo wao wa kuwapigania wananchi
Kwani ajenda za kikao zilikuwa zipi?Sikujua kama Platnum member anaweza kuwa na akili duni kama hivi , hivi ulipataje hiyo tittle ?
naanza uchunguzi .
KumekuchaMr. Two proud a.k.a Jongwe a.k.a Rais wa Mbeya a.k.a Sugu
Makalla kazaliwa Kilwa road Police enzi za barabara ya vumbi lakini anadai kazaliwa mjini ! ni kama wale wenye nyumba za udongo Kariakoo wanaojiita Born here hereHawa ndo Watoto wa Mjini ...Mambele Kitambo sana wacha wale wa mbeleko ya Mama oooh Kilwa rodi oooh Kariakoooo