Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
Yes he is an assetSugu ni CIA?
part of team wolf
Subsahara division
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes he is an assetSugu ni CIA?
Mr. Two proud a.k.a Jongwe a.k.a Rais wa Mbeya a.k.a SuguKuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF
Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Ikulu ya Pentagon (White House)
View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004
Pichani ni Bilionea Sugu akisisitiza jambo kwa umakini Mkubwa , huku balozi huyo akizingatia kwa kiwango cha Juu
Kwanini asijue wakati kaishi usa,scandinavia,UKwhat's up ma men? Sugu anajua kutema slang?
HayaHalafu Sugu kwenye English Yuko vzr sio kama mbowe
ni naniiiiii? suguuuuuuuuu...... sugu moto chini sugu moto chini suguuuuuuuuKuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF
Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Ikulu ya Pentagon (White House)
View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004
Pichani ni Bilionea Sugu akisisitiza jambo kwa umakini Mkubwa , huku balozi huyo akizingatia kwa kiwango cha Juu
Yaani unajibu swali kwa kuuliza swali?😁😁😁Ni lini atamtembelea Mwenezi wenu kujadili lile zuio la kuingia US.
hahahaa bro we ni mwelewa sana wa vitu hapo erythrocyte atabisha ulivyoweka tu CCM huyo ni msifia abubakarAsante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.
Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Makamanda au vibaraka? Mzungu hana urafiki na mwafrika zaidi ya kumtumia kwa maslahi yake.Makamanda wa CHADEMA wanaheshimiwa sana ndani na nje ya nchi.
Ndo maana ulipata kura 1, yaan wee babu kwa kuisifia CCM na bado wanakuchinjilia mbaliiiiAsante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.
Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila Shaka Sugu atakua anaongea ung'eng'e na mgeni wake.
Ingekua mwenezi wangehitajika wakalimani Saba.
Jibu swali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani unajibu swali kwa kuuliza swali?[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwanza nipate jibu😁Jibu swali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jibu kwaniKwanza nipate jibu[emoji16]
Kwani jibu🤣Jibu kwani
DuuYes he is an asset
part of team wolf
Subsahara division