Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Asante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.

Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Nilijua tu lazima upulize huko mwishoni[emoji1][emoji1]
 
Nawaza tu ingekua vipi yule anayeitwa humu JF na wenye chuki "mvaakobaz",angetembelewa na balozi wa Saudia,Iran au Qatar!!Ndiyo ungejua jinsi udini ulivyokolea JF.
Neno "uwekezaji"lisingeandikwa kabisa.
 
Serikali ya JMT ni mali ya Watanzania ila kwa sasa imeshikwa na CCM hivyo kiutendaji kila kinachofanyika sasa ni serikali ya CCM. Kama ilivyo kwa mmiliki wa gari, akampa dereva, chochote kinachotokea kwenye uendeshaji wa gari lake, au ajali, mwendo kasi, kuharibika, responsible ni dereva na sio mmiliki, ila kwenye kulipia chochote hadi fines ni mmiliki, na gari likibeba nyara za serikali, likishikwa ni linataifishwa anayekula hasara ni mmiliki, hivyo ni muhimu kuchagua dereva makini.

Kwa nchi yetu Tanzania, it's very unfortunately hatuna dereva mwingine yeyote isipokuwa dereva huyu aliyepo is the one and only!.

P
Dereva kama huyu? Amakweli mmepata dereva class Z
20231115_181115.jpg
 
Asante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.

Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Machawa wa Mama mumekuwa ni Aibu kubwa kwa Watanganyika. Na toka CCM ianze kufuga CHAWA, taifa limeanza kupoteza kwa kasi watu waliokuwa na akili kama P.
 
Sugu hana miradi inayofadhiliwa na USaid au taasisi nyingine ya marekani.?

Msije mkaanza kudanganya watu kuwa marekani wanataka sugu awe mbunge wa mbeya mkatengeneza mgogoro wa kidiplomasia kwa kupenda sifa za kijinga.
Hayo ni yako. Umeyasema wewe.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.

Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF

Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Pentagon .

View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004
Ni ishara mbaya sana kwa Betina
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.

Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF

Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Pentagon .

View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004
Japo hakwenda Mbeya Kwa Ajili hiyo Bali kuonana na Wamarekani wanaofanya kazi za Kilimo Mbeya.

So Sugu akapitia humo humo.Kwa mtu kama Sugu haya ni mafanikio 😆😆

View: https://twitter.com/USAmbTanzania/status/1725390901554352542?t=5s5aWFy3Ko0h5xEQ99mXGQ&s=19
 
Mkuu Chakaza , sio unajua hapa Sugu kalamba point 3 kutembelewa na US ambassador, nikajitolea kuelimisha hiyo ruhusa ya US Ambassador kumtembelea Sugu imetoka wapi na kwa nani!, ili na sisi angalau tupate point moja!.
Mimi sio wana CCM wa kihivyo, mimi ni mwana CCM wa ki hivi
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
P

Kwa nini hakutembelea makao makuu ya chadema au kumtembelea mwenyekiti Bw. Mbowe, ambaye anawakilisha chama.
Alichofanya huyo balozi ni very wrong, ni sawa balozi wa China amtembelee Bw. Mpina, huu ni urafiki wa wazi kabisa wa huyu balozi.
 
Asante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.

Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Poor soul
 
Back
Top Bottom