Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Uliwahi sema umefanya kazi Ubalozi wa Marekani hivyo basi ulichoandika hapa sina sababu ya kukikataa labda nikajisomee ili kuongezea nyama kutokea hiki kidogo nilichokiona.

MFA naamini ni Ministry of Foreign Affairs, hii NV nashindwa kuzalisha full form yake, ninaomba unisaidie. Sasa kutokana na nilichowahi kusoma n.k niliwahi soma ya kwamba balozi haguswi na sheria za nchi aliyopo na kwamba ubalozi unahesabiwa ni nchi kiasi kwamba balozi anaweza fanya uhalifu akiwa majengo ya ubalozi na nchi mwenyeji akashindwa ingilia.

Niliwahi soma mifano ya hapo juu kwa balozi Georgi Ivanova wa Bulgaria akiwa Washington na Aljubeir wa Saudi Arabia akiwa New Mexico.

Kwanini ishu ndogo kama kutembelea sehemu ihitaji MFA iingilie?
Mkuu Castr, mimi nimefanya ubalozi wa Uingereza. NV ni Note Verbale, ni document ya mawasiliano ya kibalozi, tulipoungana Balozi wa Tanzania UN, Chief Erasto Mang'enya aliwasilisha NV kutoka serikali ya Tanganyika kuiarifu UN kuwa tumeungana na Zanzibar sasa ni nchi moja. Balozi zote wakitaka kutembelea popote nje ya mawanda ya ubalozi, lazima kwanza watume NV MFA kuomba ruhusa na MFA wanatoa NV kuruhusu ndipo balozi anasafiri.

Eneo la ubalozi wowote linahesabika ni nchi hisika, hata wewe ukifanya uhalifu wowote na kukimbilia ubalozi wowote, polisi hawawezi kukukamata wataishia getini!.

Sababu za kuomba kibali ni ili kuzuia Ujasusi hata kwako mgeni akija akafikia kwako, utamuonyesha chumba chake, sitting room na rest room. Siku ukimkuta anapekua chumbani kwako lazima utashangaa. Hivyo Balozi hawezi kujiendea popote ugenini

Hili la Balozi kujiendea popote, niliwahi kulileta humu, Ujasusi wa Balozi wa Uingereza: Tanzania, Can We Stand Au Maselle Kugeuzwa Mbuzi wa Kafara? na kufuatia mimi kufanya kazi ubalozini, nimewahi kuandika makala elimishi kuhusu ubalozi Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?
P
 
Umetiririka vizuri mwisho ndio umeharibu.
Eti kwa hisani ya serikali ya CCM? Pasco nawe mbona ume accept to go that much low!
Nawe unataka kutuambia hili limekutokea?View attachment 2816116
Mkuu Chakaza , sio unajua hapa Sugu kalamba point 3 kutembelewa na US ambassador, nikajitolea kuelimisha hiyo ruhusa ya US Ambassador kumtembelea Sugu imetoka wapi na kwa nani!, ili na sisi angalau tupate point moja!.
Mimi sio wana CCM wa kihivyo, mimi ni mwana CCM wa ki hivi
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
P
 
Mkuu Castr, mimi nimefanya ubalozi wa Uingereza. NV ni Note Verbale, ni document ya mawasiliano ya kibalozi, tulipoungana Balozi wa Tanzania UN, Chief Erasto Mang'enya aliwasilisha NV kutoka serikali ya Tanganyika kuiarifu UN kuwa tumeungana na Zanzibar sasa ni nchi moja. Balozi zote wakitaka kutembelea popote nje ya mawanda ya ubalozi, lazima kwanza watume NV MFA kuomba ruhusa na MFA wanatoa NV kuruhusu ndipo balozi anasafiri.

Eneo la ubalozi wowote linahesabika ni nchi hisika, hata wewe ukifanya uhalifu wowote na kukimbilia ubalozi wowote, polisi hawawezi kukukamata wataishia getini!.

Sababu za kuomba kibali ni ili kuzuia Ujasusi hata kwako mgeni akija akafikia kwako, utamuonyesha chumba chake, sitting room na rest room. Siku ukimkuta anapekua chumbani kwako lazima utashangaa. Hivyo Balozi hawezi kujiendea popote ugenini

Hili la Balozi kujiendea popote, niliwahi kulileta humu, Ujasusi wa Balozi wa Uingereza: Tanzania, Can We Stand Au Maselle Kugeuzwa Mbuzi wa Kafara? na kufuatia mimi kufanya kazi ubalozini, nimewahi kuandika makala elimishi kuhusu ubalozi Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?
P
Samahani nilichanganya eneo la kazi.

Shukrani kwa kunielewesha hili andiko la pili niliwahi kulisoma, uliliandika wakati Slaa kafutiwa hadhi na sababu ya JF ilikua ni kisa DP World ila ukatoa insight mpya
 
Samahani nilichanganya eneo la kazi.

Shukrani kwa kunielewesha hili andiko la pili niliwahi kulisoma, uliliandika wakati Slaa kafutiwa hadhi na sababu ya JF ilikua ni kisa DP World ila ukatoa insight mpya
never mind, mimi ni muelimishaji umma. Najipanga kuwasaidia Watanzania kwa kuwaelimisha ili uchaguzi wa 2025 wafanye informed decision
P
 
Nimecheka!
Nimekuelewa, ingawa Pasco mchezo una weza pata point 3 ukishinda na ukishindwa ni point 0.
Hiyo point 1 ni kama mngetoa draw, kitu ambacho hakikutokea!
Anyway tumekuelewa mkuu!
 
Asante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.

Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Mbona balozi hajaenda kwenye shamba la pilipili la ALLY HAPI?
 
Secessionist at work.

Nilishwahi tahadharisha kwamba mkoa wa mbeya liko kwenye hatihati ya kugawanyika katika majimbo mawili. Moja la CCM na Lingine la CHADEMA. Nadhani utakuwa mkoa wa kwanza kuidhinishwa kwa utafiti maalum.

Hii ni kwasababu ya eneo lake kijiografia, hali ya hewa yake, uwezo wake wa kijamii na kisiasa na kiuchumi kwa Muungano.

Mkoa wa Mbeya una maliasili, ikiwa na pamoja na madini adimu(rare earth minerals)ambayo hayapatikani katika mikoa mingine.Mfano Monazite ambayo hutumika katika vinu vya nyuklia na nishati ya nyuklia, magari ya umeme na matumizi mengine.


Kwa msingi huo, sio sahihi kabisa kusema Mkoa unapata baraka kwasababu umetembelwa na Balozi au umebahatika kwa hiyo utapata bahati na ngonjera nyingi tu za kusifia wazungu!

Mkoa huo tayari ni Mkoa wenye kila kitu kutoka kwa Mungu. Hao mabalozi ndio wamebahatika kuja hapa Tanzania, nchi yenye amani na utulivu, uchumi unaokua, na siasa safi, na siyo vinginevyo.
 
Wana Ajenda gani? Yaani mwakilishi wa state kubwa kama US amtembelee Sugu Mbeya Kwa umuhimu upi?Nini kipo nyuma ya pazia?. Balozi anachokuja kuzungumza na wewe ni kwamba ni nchi hiyo inazungumza na wewe Sasa Sugu Ina maana anazungumza na Serikali ya Biden kupitia Kwa Balozi wake.Na wasiwasi Kuna maagent wengi sana wa CIA nchi hii hao mapolitician.Ni Mawazo yangu tu wakubwa msichukulie Seriously.
 
Wana Ajenda gani? Yaani mwakilishi wa state kubwa kama US amtembelee Sugu Mbeya Kwa umuhimu upi?Nini kipo nyuma ya pazia?. Balozi anachokuja kuzungumza na wewe ni kwamba ni nchi hiyo inazungumza na wewe Sasa Sugu Ina maana anazungumza na Serikali ya Biden kupitia Kwa Balozi wake.Na wasiwasi Kuna maagent wengi sana wa CIA nchi hii hao mapolitician.Ni Mawazo yangu tu wakubwa msichukulie Seriously.
Maswali ni mengi. Ikumbukwe sio balozi wa kwanza kumtembelea Huyo mfanyabiashara(mengi 2.0). Washaenda, Wafaransa na Waingereza kama sijakosea.

Nataka kuaminii huyu bwana Sugu ndiye mmiliki wa maeneo au migodi yenye rare earth minerals.
 
Vipi kuhusu jimbo la mbeya mjini ligawanywe tu ili sugu na tulia wasitoane nishai katika kugombea ubunge jimbo moja. Sugu agombee mjini na Tulia atafutiwe jimbo akagombee huko. Kumbe Sugu ni mtu mkubwa hivyo hadi atembelewe na balozi wa Amerika, nchi kubwa duniani na yenye uchumi na nguvu za kijeshi! Tuliowahi kufika ubalozi wa USA jijini Dar tunajua nguvu za taifa hilo
 
Maswali ni mengi. Ikumbukwe sio balozi wa kwanza kumtembelea Huyo mfanyabiashara(mengi 2.0). Washaenda, Wafaransa na Waingereza kama sijakosea.

Nataka kuaminii huyu bwana Sugu ndiye mmiliki wa maeneo au migodi yenye rare earth minerals.
Hatari sana Mkuu!Inaonekana Kuna kitu nyuma Mbona wanampita tu Msigwa pale Iringa mjini yeye Hana umuhimu?Na huyo jamaa nahisi ana uraia pia wa state.
 
Kwa ninavyowajua Chadema, Sugu anaweza kutumika kuhujumu mambo flani flani nchini na akajisifu kwa kutumiwa na waamerika ...

Mmarekani hawezi kua na agenda ya kumnufaisha mtu wa dunia ya tatu(take it from me)
 
Hatari sana Mkuu!Inaonekana Kuna kitu nyuma Mbona wanampita tu Msigwa pale Iringa mjini yeye Hana umuhimu?Na huyo jamaa nahisi ana uraia pia wa state.
Iringa ni shamba la Ufalme wa Uingereza. Eneo kubwa lipo kwenye himaya yao. Mbeya wanagombani Wafaransa Wamarekani na Wengine...panawafaa kwa mambo yao!

Hata hivyo Maliasili yanayopatikana Mbeya yanaenda ku revolutionize Viwanda vya Chuma, Umeme, na Nyukilia Duniani. Mavituz yanapatikana huko, hayapatikani popote Duniani. Hivyo basi, kama tulivyo tambulishwa "Ati Billionea" ujue ina maana Biashara inafanyika huko...na ukumbuke huyu bwana ana baraka kutoka juu kabisa. ....Nachelea kusema inawezekana ni CEO wa ma CEO?
 
Back
Top Bottom