Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sugu naye sihaba ana mtandao haswa nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila waraabu ndiyo wanaweza kumnufaisha mtu wa dunia ya tatu?Kwa ninavyowajua Chadema, Sugu anaweza kutumika kuhujumu mambo flani flani nchini na akajisifu kwa kutumiwa na waamerika ...
Mmarekani hawezi kua na agenda ya kumnufaisha mtu wa dunia ya tatu(take it from me)
Muhimu si amefika? maswala ya ruhusa sisi hayatuhusuAsante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.
Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Kwa mujibu wa nani?Ila waraabu ndiyo wanaweza kumnufaisha mtu wa dunia ya tatu?
Elewa swali hapoKwa mujibu wa nani?
Ahujumu nini wakati watu wanangaliaKwa ninavyowajua Chadema, Sugu anaweza kutumika kuhujumu mambo flani flani nchini na akajisifu kwa kutumiwa na waamerika ...
Mmarekani hawezi kua na agenda ya kumnufaisha mtu wa dunia ya tatu(take it from me)
Wakati huo huo Makonda wa CCM wamempiga marufuku asipeleke makalio yake marekani!😂😂😂Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF
Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Pentagon .
View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004
Nimejibu ulichoandikaElewa swali hapo
Kwani ndiyo mara ya kwanza kutembelewaVipi kuhusu jimbo la mbeya mjini ligawanywe tu ili sugu na tulia wasitoane nishai katika kugombea ubunge jimbo moja. Sugu agombee mjini na Tulia atafutiwe jimbo akagombee huko. Kumbe Sugu ni mtu mkubwa hivyo hadi atembelewe na balozi wa Amerika, nchi kubwa duniani na yenye uchumi na nguvu za kijeshi! Tuliowahi kufika ubalozi wa USA jijini Dar tunajua nguvu za taifa hilo
Fursa za uwekezaji kwa kumtumia Sugu kama nani hapo mbeya?Ahujumu nini wakati watu wanangalia
Fursa za uwekezaji nk
Ova
Hakika ni sahihi kabisaHakika
Kwenye jamii ina make sense ila uwekezaji noKwani ndiyo mara ya kwanza kutembelewa
Sugu nje ya uharakati na pia ni mpambanaji kwenye mambo ya kijamii nk
Ova
what's up ma men? Sugu anajua kutema slang?Kwani ndiyo mara ya kwanza kutembelewa
Sugu nje ya uharakati na pia ni mpambanaji kwenye mambo ya kijamii nk
Ova
Haya kojoa ukalale mjuajiAsante kwa taarifa, sii kweli kuwa US Ambassador hawezi kutembelea eneo lolote bila ruhusa ya Pentagon, Pentagon ni Wizara ya ulinzi ya Marekani ambayo ina manage the US army, American missions zote na their interests zinaendeshwa na Foreign Office na kusimamiwa na State Department, na zinalindwa na US Marines, hivyo kila kinachofanyika ubalozini Foreign office na state Department wanakiona na kumonitor, hata wanaokatiza tuu barabarani na majirani wote ni well monitored 24/7.
US Ambassador hauendi mahali bila securty clearance ya the US marine, na sio Pentagon, huyo Balozi ameweza kufika hapo kwa ruhusa ya MFA kupitia NV.
Mabalozi wote hawaruhusiwi kutembelea maeneo ambayo sio ya kidipkomasia bila kuomba ruhusa kwa maandishi kutoka MFA na kupewa kibali kupitia NV. Hivyo Balozi huyo ameweza kufika hapo kwa hisani ya kibali cha serikali ya CCM!.
P
Dereva wetu analing'ang'ania gari kwa mabavuhivyo ni muhimu kuchagua dereva makini.
Mbilinyi ashtakiwe mbona hatuoni Picha za Mama Samia ukutaniKuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF
Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Pentagon .
View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004
Hakuna yeyote yani one and only... What does this suppose to mean?Kwa nchi yetu Tanzania, it's very unfortunately hatuna dereva mwingine yeyote isipokuwa dereva huyu aliyepo is the one and only!.
☕☕☕ Tunajua Kibali cha serikali ya Samia, kingelazimisha aanze kwa Tulia kwanza.kibali cha serikali ya CCM!.
P
Sugu is another level. Tulia skar kwa kutulia huku akijiandaa kukabidhi jimbo 2025.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala timu ya Sugu , lakini tutawawekea hapa kila kitakachovuja kutoka kwenye mazungumzo hayo , Usiondoke JF
Kumbuka kwamba Balozi wa Marekani hatembelei eneo lolote bila ruksa kutoka Pentagon .
View attachment 2816001View attachment 2816002View attachment 2816004