Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Agent wa nini kwenye nchi kapuku kama hii? kila kitu wameuziwa waarabu, au unamaanisha agent wa vitunguu na viazi?Hata mimi naanza kuwaza hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agent wa nini kwenye nchi kapuku kama hii? kila kitu wameuziwa waarabu, au unamaanisha agent wa vitunguu na viazi?Hata mimi naanza kuwaza hivyo
HahahaAgent wa nini kwenye nchi kapuku kama hii? kila kitu wameuziwa waarabu, au unamaanisha agent wa vitunguu na viazi?
Naye huwa na bidii sana ya kuwa alika mabalozi, kutwa kuchwa anapeleka maombi ya kutembelewa ili awaeleze juu hali za kisiasa nchini.Hii imekuwa kawaida sana sugu kutembelewa na mabalozi wa nchi mbalimbali.
Huyo Sugu ni kitengo na snitch wao.Taarifa Ikufikie popote ulipo, kwamba, Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania, David Concor amefika Hotel Desderia ya Jijini Mbeya na kukutana na Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Habari zilizovuja zinadokeza kwamba Bilionea Mbilinyi na Balozi huyo wamezungumza kuhusu Hali ya Kisiasa Nchini Tanzani(Katiba, Tume Huru na Uchaguzi) pamoja na habari za Kilimo cha biashara (commercial farming), Japo ni mapema sana kujua malengo hasa ya kikao hicho kabambe cha Kimataifa.
Usiondoke JF
View attachment 2996313View attachment 2996314View attachment 2996315View attachment 2996316View attachment 2996318
Waliongea Kwa kutumia lugha ghani maana Sugu kingereza hajui au kulikuwa na mkalimaniKasindikizwa Balozi, Sugu yeye alikuwa tu Mbeya anasubiri mgeni
Peleka wewe uoneNaye huwa na bidii sana ya kuwa alika mabalozi, kutwa kuchwa anapeleka maombi ya kutembelewa ili awaeleze juu hali za kisiasa nchini.
HatersNaye huwa na bidii sana ya kuwa alika mabalozi, kutwa kuchwa anapeleka maombi ya kutembelewa ili awaeleze juu hali za kisiasa nchini.
Mwamba ana connection kali snDreams big zinalipa sana
Connection za dunia ni muhimu snMabalozi wa EU na Marekani wanapishana tu mlangoni kwa Jogwe.
Gusa ninuke ndio hawa sasa.
Kwanini na baba ako asijengewe na US naye?Aisee! Usikute hiyo hotel ni ya huyo balozi wa US au ya Biden ndiyo maana kila mwezi anaenda (kukagua mapato)
Nisemacho ni ukweli mtupu mkuu, hata wewe ni ruksa kumwalika balozi umpendaye alimradi mwaliko huo uwe na hoja za kimsingi za mwaliko unaoutuma.Haters
Betina Kafura kuĺe kwenye gazeti la Kipepe...Safi sana ikiwezekana akampigie na kampeni ya Uwenyekiti wa kanda ya Nyasa ili ashinde na kupita kwa kishindo.
We akili ñdogo hata Proposal ya kuchoma mihogo imekushinda....Betina kafura kule kwa KipepeNaye huwa na bidii sana ya kuwa alika mabalozi, kutwa kuchwa anapeleka maombi ya kutembelewa ili awaeleze juu hali za kisiasa nchini.
Hata wewe waweza mualika balozi bila shida yoyote! Alimradi uwe na ya msingi,We akili ñdogo hata Proposal ya kuchoma mihogo imekushinda....Betina kafura kule kwa Kipepe
Aisee! Usikute hiyo hotel ni ya huyo balozi wa US au ya Biden ndiyo maana kila mwezi anaenda (kukagua mapato)
Hata mimi naanza kuwaza hivyo