Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Sikiliza wewe kapuku, mimi ni Tajirisasa ilikuwaje ukafurushwa na cheti chako feki ulikuwa unaganga wapi njaa yako kabla hujaipeleka chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikiliza wewe kapuku, mimi ni Tajirisasa ilikuwaje ukafurushwa na cheti chako feki ulikuwa unaganga wapi njaa yako kabla hujaipeleka chadema?
Unavyoandika tu inaonesha uwezo mdogo.Usiwe mjinga wewe, huyu Sugu usimchukulie poa, ni mzito mno, Jiwe alishindwa kumuua akabaki kumfunga jela
Ndio mlivyofundishwa huko na mwenyekiti wenu,aisee nyie mtauza nchi kwa mabwana zenu.hovyo kabisa,eti huyu nae anategemewa na chama..Mungu wabariki Wazungu
HAHAAA ETI TAJIRI matajiri washinde mitandaoni kuwasifia kina mbowe jamani hii nchi sihami ina raha yake matajiri kuwa machawa wa wanasiasa? kweliiii imbombo jilipoSikiliza wewe kapuku, mimi ni Tajiri
nilijua utachemsha tuUnavyoandika tu inaonesha uwezo mdogo.
Raia wa aina yako ni tatizo kwa wengine wenye uelewa.
Hujui kitu, Shutup!HAHAAA ETI TAJIRI matajiri washinde mitandaoni kuwasifia kina mbowe jamani hii nchi sihami ina raha yake matajiri kuwa machawa wa wanasiasa? kweliiii imbombo jilipo
Njia ya kupitishia LGBTQ+Huyu Jamaa ana ni i mbona Mabalozi wanamfata sana.
Ana tembelewa na Mabalozi wengi kuliko Kinana
nilijua <=>nilijuwanilijua utachemsha tu
Nenda zanzibar ukaoneNjia ya kupitishia LGBTQ+