Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Naye huwa na bidii sana ya kuwa alika mabalozi, kutwa kuchwa anapeleka maombi ya kutembelewa ili awaeleze juu hali za kisiasa nchini.
Kama unadhani ni rahisi kiasi hicho, jaribu na wewe, mwalike hata msaidizi wa balozi wa US, halafu tuletee taarifa.