Mbeya: Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania David Concar, akutana na Joseph Mbilinyi

Kwakweli vibaraka kupewa nchi ni ngumu saana, na wapo kote side A na Side B ila wa side A wanatulizika tu
 
Huyo Sugu ni kitengo na snitch wao.

Pia ni man to watch maana anaweza uza Nchi huyu kibaraka , Chadema mpigeni chini Uenyekiti wa Kanda Ili na Ubunge aje kuaibishwa
 
Hata mimi naanza kuwaza hivyo

Ndiye wanayemwamini katika kuwapa taarifa sahihi za hali ya siasa za kisanii za Tanzania.

Kwa sasa mjadala mkubwa kwa US na mataifa ya Ulaya, ni kweli Serikali ya Tanzania imeamua kufuata misingi ya demokrasia, utawala wa sheria na katiba, na kuheshimu uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari?

TZ imeomba yale yote yaliyokuwa yamefutwa (pesa ya MCC, Msaada toka UK kwa nchi wanachama wa Commonwealth zinaozingatia demokrasia, msaada wa kibajeti toka Ulaya) yarudishwe kwani imerekebisha mambo mengi. Wahisani lazima wajiridhishe usahihi wa taarifa za serikali kutoka kwa wadau muhimu. Ndiyo maana kwa sasa ule uonevu wa Serikali na CCM dhidi ya wapinzani hutaona maana wakifanya tu hivyo mbinyo wake utakuwa zaidi kuliko wa huko nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…