Naye huwa na bidii sana ya kuwa alika mabalozi, kutwa kuchwa anapeleka maombi ya kutembelewa ili awaeleze juu hali za kisiasa nchini.
Siko kwenye issue ambazo zinahusika na masuala ya kijamii, siasa au ya aina hiyo, I assure you, ni jambo dogo na rahisi mno!, tuna appointment yako kwa email for US, AMB, Please contact DRSACS@state.gov with any questions/request.Kama unadhani ni rahisi kiasi hicho, jaribu na wewe, mwalike hata msaidizi wa balozi wa US, halafu tuletee taarifa.
Bila shakaKwa sasa mjadala mkubwa kwa US na mataifa ya Ulaya, ni kweli Serikali ya Tanzania imeamua kufuata misingi ya demokrasia, utawala wa sheria na katiba, na kuheshimu uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari?
Akaalike labda Balozi Wa Rwanda na DRC watakujaKama unadhani ni rahisi kiasi hicho, jaribu na wewe, mwalike hata msaidizi wa balozi wa US, halafu tuletee taarifa.
Una umri gani?Waliongea Kwa kutumia lugha ghani maana Sugu kingereza hajui au kulikuwa na mkalimani
Mwambie Kigwangwala naye afanye hivyoSiko kwenye issue ambazo zinahusika na masuala ya kijamii, siasa au ya aina hiyo, I assure you, ni jambo dogo na rahisi mno!, tuna appointment yako kwa email for US, AMB, Please contact DRSACS@state.gov with any questions/request.
Endapo kama una la msingi ufanye arrangement naye!
Pole sanaSafi sana ikiwezekana akampigie na kampeni ya Uwenyekiti wa kanda ya Nyasa ili ashinde na kupita kwa kishindo.
Sugu hustling zake tu zinawa inspire watu wengiHuyu Jamaa ana ni i mbona Mabalozi wanamfata sana.
Ana tembelewa na Mabalozi wengi kuliko Kinana
Usilie, mambo badoHuyo Sugu ni kitengo na snitch wao.
Pia ni man to watch maana anaweza uza Nchi huyu kibaraka , Chadema mpigeni chini Uenyekiti wa Kanda Ili na Ubunge aje kuaibishwa
Hivi unaamini Mbilinyi anajitambua kiasi cha kuwa na mazungumzo ya maana na Balozi wa nchi kama Uingereza?Taarifa Ikufikie popote ulipo, kwamba, Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania, David Concor amefika Hotel Desderia ya Jijini Mbeya na kukutana na Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Habari zilizovuja zinadokeza kwamba Bilionea Mbilinyi na Balozi huyo wamezungumza kuhusu Hali ya Kisiasa Nchini Tanzani(Katiba, Tume Huru na Uchaguzi) pamoja na habari za Kilimo cha biashara (commercial farming), Japo ni mapema sana kujua malengo hasa ya kikao hicho kabambe cha Kimataifa.
Usiondoke JF
Wivu!Hivi unaamini Mbilinyi anajitambua kiasi cha kuwa na mazungumzo ya maana na Balozi wa nchi kama Uingereza?
Kama wewe ni mzoefu na mambo ya wikileak, utafahamu kwamba wanajua wanachokifanya.
Wanafahamu kila mbunge, na waziri na uwezo wake, na upuuzi wake. Wakati mwingine wanahitaji upuuzi wa mtu ili wafanikishe mambo ya nchi zao.
Tumetumia Satelite mkuu, sasa kama una matatizo ya macho ni ChangamotoMpiga picha ametumia tecno au?
Wivu kwani anaolewa?Wivu!
Bado ya wapi?Usilie, mambo bado
Usiondoke JFBado ya wapi?
Usiwe mjinga wewe, huyu Sugu usimchukulie poa, ni mzito mno, Jiwe alishindwa kumuua akabaki kumfunga jelaWivu kwani anaolewa?
sasa hao wanajadiri hali ya kisiasa nchini inawahusu nini? wacha vigogo wa ccm wajadili masuala ya nchiTaarifa Ikufikie popote ulipo, kwamba, Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania, David Concor amefika Hotel Desderia ya Jijini Mbeya na kukutana na Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo.
Habari zilizovuja zinadokeza kwamba Bilionea Mbilinyi na Balozi huyo wamezungumza kuhusu Hali ya Kisiasa Nchini Tanzani(Katiba, Tume Huru na Uchaguzi) pamoja na habari za Kilimo cha biashara (commercial farming), Japo ni mapema sana kujua malengo hasa ya kikao hicho kabambe cha Kimataifa.
Usiondoke JF
mbona wewealifanikiwa kukungóa na cheti feki chako?Usiwe mjinga wewe, huyu Sugu usimchukulie poa, ni mzito mno, Jiwe alishindwa kumuua akabaki kumfunga jela
Sijawahi kuwa mfanyakazi wa serikali ya Tanzania na sitarajii, labda nitumikie wananchi kwenye ubungembona wewealifanikiwa kukungóa na cheti feki chako?
sasa ilikuwaje ukafurushwa na cheti chako feki ulikuwa unaganga wapi njaa yako kabla hujaipeleka chadema?Sijawahi kuwa mfanyakazi wa serikali ya Tanzania