OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa hatua ilipofikia hata asiangalie fedha, aje tu SimbaNI muda muafaka sasa kwa Feizal kuja Simba, huko aliko anazidi kuzeeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hatua ilipofikia hata asiangalie fedha, aje tu SimbaNI muda muafaka sasa kwa Feizal kuja Simba, huko aliko anazidi kuzeeka
Refa akawaelewesha hata mkipiga hamuendi kokote.😂😂FT Azam 1-1 Mbeya City
Penati Azam 2-4 Mbeya City
Baada ya penati ya mwisho ya Mbeya City, Azam walienda kumzonga refa wakitaka wamalizie penati yao. Refa akawaelewesha hata mkipiga hamuendi kokote.
Nini "shemeji" 😂😂Ila wewe🤣
penati halali ileAisee hii n brkn news
Nilisema huyuu anaefadhili Azam kuna siku ataulixwa na Mungu hizi PESA za mchezo uliztoa wapi kwann hukutoa kwa YATIMA na wajane
Naunga mkono hojaMbeya City walipiga mpira wa ukweli,atakayekutana naye kazi anayo, ila penati waliyopewa Azam ilikuwa ya mchongo sana nimefurahi kutolewa
Same here. Yaani nimefurahi azam kutolewa na penalty yao ya mchongo.Sema refa kawapa penati ya mchongo wale Azam lakini wametolewa nimefurahi sana😃😃😃
Ya kweli haya
Sijui walisahau?? 😂FT Azam 1-1 Mbeya City
Penati Azam 2-4 Mbeya City
Baada ya penati ya mwisho ya Mbeya City, Azam walienda kumzonga refa wakitaka wamalizie penati yao. Refa akawaelewesha hata mkipiga hamuendi kokote.
Usiwe unani quoteWe si unaijua Yanga pekee,
Tangu watoe sare na Simba wapo hoi...maana nguvu zote ziliishia msimbaziHuu kweli ni mwaka wa ubaya ubwela.
Azam ametolewa kwa penati na Mbeya City katika mashindano ya Shirikisho la CRDB Cup. Tukumbuke kwamba Mbeya City inacheza katika ligi daraja la kwanza.
Timu hizo zilimaliza mchezo kwa kufungana 1-1 ndiyo wakaenda kupigiana penati ambapo Mbeya City ikashinda kwa mikwaju 4-2.
Next, Coastal Union inaenda kuitoa Utopolo.
We ni wakufundishwa,utaleta watoto wajinga duniani, idiotUsiwe unani quote
Acha mazoea
Wacha nikuweke ignore listWe ni wakufundishwa,utaleta watoto wajinga duniani, idiot
Huoni kabisa kuwa ameanza kutolewa SHANGAZI MTU... bado nyie DADA WATU {AISHA}na{ASHA}..!!!Huu kweli ni mwaka wa ubaya ubwela.
Azam ametolewa kwa penati na Mbeya City katika mashindano ya Shirikisho la CRDB Cup. Tukumbuke kwamba Mbeya City inacheza katika ligi daraja la kwanza.
Timu hizo zilimaliza mchezo kwa kufungana 1-1 ndiyo wakaenda kupigiana penati ambapo Mbeya City ikashinda kwa mikwaju 4-2.
Next, Coastal Union inaenda kuitoa Utopolo.
Nilitaka nishangae umkimbie Kalpana mimi utaniwezaje?Wacha nikuweke ignore list
Sina cha ku share na wewe