Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeichukua hata hiyo mbeya city awe ana finance kila kitu, ujue watu wa nyanda za juu kusini tuna umoja sana , sio jambo la kushangaa team ya Mbeya ikashabikiwa na watu wa Iringa, Njombe, Songwe hata Ruvuma piaHuwa nasema Bakhresa angefanikiwa zaidi na timu yake ya Azam kama angeipeleka sehemu kama Mbeya au Morogoro, maeneo yenye historia nzuri ya mpira halafu akatafuta mashabiki wafia timu.
Acha kumpangia mtu maamuzi/matumizi ya kitu chake. Badala yake ungeanzisha timu yako halafu ukaipeleka hayo maeneo!Huwa nasema Bakhresa angefanikiwa zaidi na timu yake ya Azam kama angeipeleka sehemu kama Mbeya au Morogoro, maeneo yenye historia nzuri ya mpira halafu akatafuta mashabiki wafia timu.
Sahihi kabisa. Angefanikiwa sana. Labda aliona ingeonekana ni timu ya kanda fulani. Waliomshauri au yeye mwenyewe alitaka awe na timu ya kitaifa kama Yanga au Simba ili brand iwe kubwa zaidi ila ni ngumu sana. Hizi timu mbili ni kama dini fulani.Angeichukua hata hiyo mbeya city awe ana finance kila kitu, ujue watu wa nyanda za juu kusini tuna umoja sana , sio jambo la kushangaa team ya Mbeya ikashabikiwa na watu wa Iringa, Njombe, Songwe hata Ruvuma pia
Inaitwaa abebaaaasibebekiiMbeya City walipiga mpira wa ukweli,atakayekutana naye kazi anayo, ila penati waliyopewa Azam ilikuwa ya mchongo sana nimefurahi kutolewa
Umbo la nje lisikudanganye. Huyo ni Shoga, hawezi kuzaa.We ni wakufundishwa,utaleta watoto wajinga duniani, idiot
Sema kweli mkuu?Umbo la nje lisikudanganye. Huyo ni Shoga, hawezi kuzaa.
Tumebaki wawili, niachie NBC nikuachie CRDBSema refa kawapa penati ya mchongo wale Azam lakini wametolewa nimefurahi sana😃😃😃
Exactly 💯 brother 😃😀😀Tumebaki wawili, niachie NBC nikuachie CRDB
Sema kweli mkuu?
Kwa akili alizo nazo, hawezi kuacha kukazwa yule.Sema kweli mkuu?
Mmetoka kwa GSM sasa mpo kwa BakhresaAisee hii n brkn news
Nilisema huyuu anaefadhili Azam kuna siku ataulixwa na Mungu hizi PESA za mchezo uliztoa wapi kwann hukutoa kwa YATIMA na wajane
Namshauri aiuze Azam,anunue mabus ya kwenda kenyaAisee hii n brkn news
Nilisema huyuu anaefadhili Azam kuna siku ataulixwa na Mungu hizi PESA za mchezo uliztoa wapi kwann hukutoa kwa YATIMA na wajane