Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

Ratiba ya bodi ya ligi ndio inafanya timu nyingi zisifikie malengo, imagine, tangu Azam acheze na simba tayari ana michezo miwili lakini Simba ana mchezo mmoja na anasubiri wekeend kucheza na Yanga, kulikuwa na haja gani Azam kuipangia mechi mfululizo ili hali YANGA SIMBA wakipewa muda mzuri wa maandalizi? kinachoiua Azam siku zote ni ratiba ya Ligi si kingine. Laiti Azam angekuwa anapewa favour kama wanayopewa timu za Kariakoo Azam angekuwa kila msimu anachukua ubingwa. Ahsante Bodi ya League kwa kuinyonga aAzam
Azam hawajawahi kuwa siriazi mkuu.
 
Ya kweli haya
1741004596352.png
 
Hii timu Sh3nzi kabisa.

Bidhaa Mbovu ya Bakresa
Hii timu pamoja na azam media ndo bidhaaa mbovu za bakhresa! Yani kinga'amuzi cha azam bila ligi kuu hawana content kabisa na walivyo wehu wakakataa na kurusha mchezo wa ngumi.
 
Huu kweli ni mwaka wa ubaya ubwela.

Azam ametolewa kwa penati na Mbeya City katika mashindano ya Shirikisho la CRDB Cup. Tukumbuke kwamba Mbeya City inacheza katika ligi daraja la kwanza.

Timu hizo zilimaliza mchezo kwa kufungana 1-1 ndiyo wakaenda kupigiana penati ambapo Mbeya City ikashinda kwa mikwaju 4-2.

Next, Coastal Union inaenda kuitoa Utopolo.
Gongowazi apigweee
 
Kawaida iyo mbona Simba juzi kati apo ilitolewaga na mashujaa
 
unataka timu ifanye nini ndipo utaona iko serious?
HUWA inaharibu zaidi nyakati muhimu sana na ukubwa wake haujalingana na namna wanavyocheza.Hasa kwenye michuano ya kimataifa na michezo muhimu sana.
 
Back
Top Bottom