Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

kwenye mpira haya ni mambo yanayotokea mfano liverpool kafungwa na plymouth argyle kwenye fa cup.
 
Tangu watoe sare na Simba wapo hoi...maana nguvu zote ziliishia msimbazi
 
Huoni kabisa kuwa ameanza kutolewa SHANGAZI MTU... bado nyie DADA WATU {AISHA}na{ASHA}..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…