Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

Azam hawajawahi kuwa siriazi mkuu.
 
Hii timu Sh3nzi kabisa.

Bidhaa Mbovu ya Bakresa
Hii timu pamoja na azam media ndo bidhaaa mbovu za bakhresa! Yani kinga'amuzi cha azam bila ligi kuu hawana content kabisa na walivyo wehu wakakataa na kurusha mchezo wa ngumi.
 
Gongowazi apigweee
 
Kawaida iyo mbona Simba juzi kati apo ilitolewaga na mashujaa
 
unataka timu ifanye nini ndipo utaona iko serious?
HUWA inaharibu zaidi nyakati muhimu sana na ukubwa wake haujalingana na namna wanavyocheza.Hasa kwenye michuano ya kimataifa na michezo muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…