Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

mkuu una uhakika kuwa Mbalizi ipo jiji la Mbeya?

Huwezi tenganisha Mbalizi na Mbeya hata kama zipo halmashauri tofauti. Mbeya inahudumiwa na uwanja wa ndege uliopo nje ya mainspaa.
 
Inaizidi mwanza
 
Mkuu umeielezea Mbeya kwa chuki zako binafsi za kutoipenda Mbeya.
Unaelezea kama vile Mbeya haina makazi bora.
Umewahi kufika forest mpya, forest ya zamani, Iwambi mpya, Isyesye mpya, Ituha, Block T, Itezi .....
Pia nieleze jiji lililopo Tanzania ambalo halina maeneo ya hivyo.
Acha chuki mkuu, Mbeya ni jiji zuri na itabaki kuwa hivyo.
 
Mi nimezaliwa huko ila siwezi kuishi huko kamwe mtanisamehe bakamu gwangu nkulonda i peace.
 
Achana na wapuuzi hao,Mimi Huwa nawapa za uso tuu..

Pili Hawa wanapenda Mbeya ndio maana Wana washwa nayo.
 
Hakuna utaratibu wa maisha unaosema mji uwe na vumbi, mchafu, hauna ustaarabu, na miundombinu duni. Mimi kama mlipakodi Nina haki ya kuyasema haya ikiwa yananikera.
Utajua mwenyewe
Ndo jiji sasa na tunapapenda pazuri afu inaonekana upajui vizuri au una matatizo yakulinganisha sana
 
Utajua mwenyewe
Ndo jiji sasa na tunapapenda pazuri afu inaonekana upajui vizuri au una matatizo yakulinganisha sana
Na Kwa taarifa Yao hii kuwashwa washwa na Mbeya inathibitisha ukweli kwamba hakuna Mkoa mzuri kuliko sweet Mbeya Tanzania nzima
 
Mipangilio ya miji yetu mingi inareflect thinking capacity tuliyonayo wala sio vinginevyo. Na hii ni kwa Africa nzima I think wala sio kwa bahati mbaya.
Bora wewe umeona ni Afrika nzima wana ishambulia Mbeya tu yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…