Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Nasisitiza kama umewahi kutembea nchi za watu, basi fahamu nchi hii hakuna jiji. Vyote ni vijiji vilivyochangamka.
Asante... Maana wavo pashambulia Mbeya utasema io mikoa mingine ina maajabu
Kungekua kubaya hivo kusingekua na wahamiaji wengi hivi na wakinga wangekua wanaenda Iringa😂

Kifupi Tz ni kijiji
 
Asante... Maana wavo pashambulia Mbeya utasema io mikoa mingine ina maajabu
Kungekua kubaya hivo kusingekua na wahamiaji wengi hivi na wakinga wangekua wanaenda Iringa[emoji23]

Kifupi Tz ni kijiji

Sawa mbeya Girl. [emoji4]
 
Na uchafu ,hawa akina mwaisa ni wachafu na washirikina sana na vijumba uchwara vya udongo kwenye huo mji ,na unafiki wa kilokole
 
Mbeya is worst.
Nani wa kulaumiwa?. Mi nimezaliwa na kukulia mbeya. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 maeneo mengi yalikua wazi na nchi ina wataalamu wa mipango miji lakini walizubaa tuu mpaka watu wakajenga hovyo na sasa maeneo ya wazi ni machache hata kujenga shule inashindikana.

Eneo lilipokua Soko la uhindini NHC walikua wameandaa fungu kabisa kupafanya pa kisasa ila madiwani na wafanyabiashara waliokuwepo mwanzo wakafanya fitna mpaka leo pako vilevile tuu. City park pamedorora mpaka wamempa mtu ajenge frame.

Mipango mibaya ya Mbeya serikali inahusika kwa asilimia kubwa, huwezi kuwaachia watu wajenge wanavyojiskia.
 
Akili za namna hii huwa ni ngumu sana kudeal nazo, especially kwa watu kama mimi wenye zero tolerance when it comes to dullness.
Watu wenye uelewa wame take hii criticism positive.
Chuki na mbeya , for what? Nimesoma sekondari huko na mwaka wangu wa kwanza wa career nlikaa hapo forest ya zamani.
Ukweli usemwe, miji ya Tz ina safari ndefu bado ila Mbeya is the worst of all.
Ulipoitaja Mbalizi kuwa ipo Mbeya jiji nikajua wewe mgeni Mbeya. Kusoma Mbeya haimaanishi unaijua Mbeya.
Ni kweli Mbeya vumbi lipo lkn hainuki kama Dar, ni kweli Mbeya Kuna nyumba za tope lkn hakuna ujenzi wa kujenga chini ya mawe na kuhatarisha maisha ya wakazi kama Mwanza.
 
Hizo aluminum sheets zinaonekana zimepauka sababu ya vumbi ,
Ndio maana huwezi nawiri ukiwa mbeya.
a reason I have said, and I say it again, suala la kupanda miti linatakiwa liwe ni kipaumbele kwa mbeya . Sioni ugumu kwenye hili hasa ukizingatia hali ya hewa ya mbeya ni rafiki.
Mbeya sio wa kuwaambia wapande miti,kawashauri Dodoma huko wapande.
 
Dodoma is green than mbeya bas tu ubishi ni tabia[emoji116]
JamiiForums-1929206420.jpg
 
Ulipoitaja Mbalizi kuwa ipo Mbeya jiji nikajua wewe mgeni Mbeya. Kusoma Mbeya haimaanishi unaijua Mbeya.
Ni kweli Mbeya vumbi lipo lkn hainuki kama Dar, ni kweli Mbeya Kuna nyumba za tope lkn hakuna ujenzi wa kujenga chini ya mawe na kuhatarisha maisha ya wakazi kama Mwanza.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Na uchafu ,hawa akina mwaisa ni wachafu na washirikina sana na vijumba uchwara vya udongo kwenye huo mji ,na unafiki wa kilokole
Uchafu wa aina gani?
nadhani unasimuliwa tu, mojawapo ya makabila yanayoongoza kwa usafi hapa Tanzania ni kutoka Mbeya.
Ni vigumu sana kukuta nyumba haina choo kwa Mbeya.
 
Ulipoitaja Mbalizi kuwa ipo Mbeya jiji nikajua wewe mgeni Mbeya. Kusoma Mbeya haimaanishi unaijua Mbeya.
Ni kweli Mbeya vumbi lipo lkn hainuki kama Dar, ni kweli Mbeya Kuna nyumba za tope lkn hakuna ujenzi wa kujenga chini ya mawe na kuhatarisha maisha ya wakazi kama Mwanza.

Kwaiyo sababu Dar au mwanza pako hivyo basi ni Sawa mbeya kuwa chafu na kuwa mji wa mavumbi, kelele, pollution, chaos , disorganized, ujenzi holela nk ?
 
Kwaiyo sababu Dar au mwanza pako hivyo basi ni Sawa mbeya kuwa chafu na kuwa mji wa mavumbi, kelele, pollution, chaos , disorganized, ujenzi holela nk ?
Ni jiji gani hapa Tanzania ambalo halina kelele na ni safi?
Taja moja tu hili tuige mfano wa kustaarabika toka kwenye hilo jiji.
 
Nani wa kulaumiwa?. Mi nimezaliwa na kukulia mbeya. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 maeneo mengi yalikua wazi na nchi ina wataalamu wa mipango miji lakini walizubaa tuu mpaka watu wakajenga hovyo na sasa maeneo ya wazi ni machache hata kujenga shule inashindikana.

Eneo lilipokua Soko la uhindini NHC walikua wameandaa fungu kabisa kupafanya pa kisasa ila madiwani na wafanyabiashara waliokuwepo mwanzo wakafanya fitna mpaka leo pako vilevile tuu. City park pamedorora mpaka wamempa mtu ajenge frame.

Mipango mibaya ya Mbeya serikali inahusika kwa asilimia kubwa, huwezi kuwaachia watu wajenge wanavyojiskia.

Yako mambo mengi yako ndani ya uwezo wa local government kwa 100% , kwa mfano masuala ya public transport ambayo kimsingi wamefeli, masuala ya upandaji wa miti, utengaji na uendelezaji wa wa maeneo ya wazi ya kupumzika (city parks) nk. Yote haya wameshindwa kwa 100% na ni mambo yasiyohitaji fedha kabisa.
Hii ni ushahidi kuwa hawana uwezo wa kusimamia lolote within their capacity.

Hii maana yake ni kuwa hata ikitokea siku tumeboresha katiba yetu ya JMT, tukafanya ugatuzi na provinces zikajisimamia, kuna provinces kama mbeya zitakuwa zipozipo tu wakati provinces nyingine zitapiga hatua haraka zaidi.
 
Alafu kwa vigezo vyako hamna mji mzuri hapa Tanzania fanya uende mbele 😂
mkoa wowote ni mzuri inategemea unaishi sehemu gani😂 mimi niko mbeya kwa sasa nimetokea arusha, hakujajengeka kama arusha ila kuna sehemu zimetulia sema ndo hivyo, uwe na hela
 
Kati ya haya niliyoyaandika kuna hata moja lisilo la kweli?
Nimekuwa mbeya for years mzee tangu nipo sekondari. Kama hakutakuwa na namna tofauti ya kufikiria na kufanya mambo basi hakuna cha 2025 wala 2050 mzee.
Mji wa mbeya ni mji wa hovyo sana, mno.
Sasa nini maoni yako?.
 
Moja kwa moja kwenye mada;

Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City.
Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya upandaji wa miti ?

Mji wa Mbeya ni kati ya miji mikubwa (Kwa eneo na idadi ya wakazi) Lakini maisha ya mbeya kwa ujumla in typical kijijini. No order , hakuna ustaarabu, chaotic , vumbi, makelele , watu wanapita na magari ya matangazo ya kila aina Hadi ya misiba. Hawa NEMC badala ya kudeal na kidimbwi na kitambaa cheupe kwanini huku hamuoni?

Mbeya hakuna usafiri wa Taxi , Bajaji ni nyingi kuliko abiria na hazina route yaani kokote anaenda. Daladala routes ni mbili tu Mjini Mbalizi au Mjini Uyole. Ikifika saa tatu usiku basi wewe daka boda uende uendako.

Mbeya hakuna hadhi wala mwonekano wa jiji, tofauti kabisa na Arusha au Mwanza, Mji mzima hakuna hata sehemu ya kufanya matembezi ? Mbeya nyumba za tope zimetapakaa kuanzia uyole, sae, hadi soweto makunguru hadi nzovwe na iyunga.. huko mbalizi ni balaa lingine.

Inashangaza kuona 2023 katikati ya mji serikali inajenga fremu za kupangisha. That’s so annoying.
Why not some modern Structure like a shopping mall?

Hivi mna uhakika hawa viongozi wa halmashauri ya mji wa Mbeya walienda shule kweli? Miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na Fursa ya kujenga Soko la kisasa au shopping mall pale mwanjelwa jamaa wa huko halmashauri ya mji wakaja na lidude la kizamani (structure nzee ya miaka ya 1700s huko) tena kwa mabilioni ya pesa, baada ya pale SIDO kuungua tukajua watakuja na kitu cha tofauti, wapi. Yaleyale.

Picha: Mwonekano wa juu wa mji wa mbeya.


Fremu za Biashara zinazojengwa na Halmashauri ya jiji la mbeya katikati ya mji (CBD)


Jengo la soko la mwanjelwa lililojengwa kwa gharama kubwa (bilioni 60+) pesa za walipakodi

Eneo la kabwe, hapa jioni hugeuka gulio.. hapa unahitaji tu kuwa na bidhaa..nenda kabwe then mwaga chini uza. Vurugumechi.

Miundombinu ni duni sana, duni mno . Barabara ni moja tu ya TAZAM Highway inayopita mjini ambayo ni chakavu sana na ni moja (Sio Dualed). Mbeya si rafiki wa watembea kwa miguu sababu utagongwa muda wowote kama sio na bajaji basi bodaboda. Hakuna jogging Mbeya.

Kwa upande wa huduma za Afya mbeya pako [emoji817]. Mengine ni hovyo kabisa..

Ushauri:
1. Mradi mpya wa barabara ya njia nne toka uyole hadi Uwanja wa ndege ufanyike njia sita maeneo ya Mjini kupunguza foleni, na pia kuwe na provisions za watembea kwa miguu, pale mafiati kuwe na interchange kurahisisha traffic na angalau tusifikirie kubomoa na kujenga tena kwa miaka 15 ijayo.

2. Zijengwe nyumba za kisasa za makazi sehemu kama airport ya zamani. Pia kile chuo cha kilimo kitoe yale mashamba kwa NHC na zijengwe affordable houses nk. Mashamba hayatakiwa mijini. Nchi ina mapori mengi sana

3. Upandaji wa miti iwe ni kipaumbele. Walau kupunguza lile vumbi mjini. Watoto wa shule za misingi na sekondari can easily do this bila hata gharama.

5. Think Big. Jiji linaweza kuanza kufikiria kuwa na reli nyepesi ya abiria toka uwanja wa ndege wa Songwe hadi Uyole, na kubranch pale Meta ikaenda hadi mjini na kuja kutokea mwanjelwa. Kwa Jografia ya mji wa mbeya reli hii itarahisisha usafiri kwa zaidi ya 80% ya mahitaji ya usafiri wa mjini.

6. Maeneo ya wazi yawepo. Hii in muhimu sana.
NB: Mimi sio mwandishi wa wa habari.

Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom