Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya kuna wakati vumbi linajaa mji mzima ,huwa nashangaa sijui linatoka wapi[emoji1][emoji1]

Nature ya udongo, ardhi iko exposed sababu ya shughuli za kijamii zisizojali uhifadhi wa mazingira, ukijumuisha na upepo unaovuma usio na kizuizi chochote (hakuna miti) basi vumbi ni kama powder laini.

Suluhisho hapa ni upandaji wa miti kwa wingi, mji uwe kweli green city. Hii wala sio rocket science.
Hili vumbi pia utalipata sana sehemu zisizo na miti kama baadhi ya Wilaya za Dodoma au sehemu mama Makambako. Mbeya wasione Tabu kwenda ku-Benchmark sehemu kama Arusha, Moshi, Iringa kwa namna miji hii ilivyo na miti mingi inayosaidia kufanya hewa iwe safi na kuboresha mandhari ya mji.
 
Nature ya udongo, ardhi iko exposed sababu ya shughuli za kijamii zisizojali uhifadhi wa mazingira, ukijumuisha na upepo unaovuma usio na kizuizi chochote (hakuna miti) basi vumbi ni kama powder laini.

Suluhisho hapa ni upandaji wa miti kwa wingi, mji uwe kweli green city. Hii wala sio rocket science.
Hili vumbi pia utalipata sana sehemu zisizo na miti kama baadhi ya Wilaya za Dodoma au sehemu mama Makambako. Mbeya wasione Tabu kwenda ku-Benchmark sehemu kama Arusha, Moshi, Iringa kwa namna miji hii ilivyo na miti mingi inayosaidia kufanya hewa iwe safi na kuboresha mandhari ya mji.
Mbeya sajawahi kupaelewa kabisa mji wa hovyo mno bora hata Iringa au Songea zipo well organized
 
Nimekaa sana mbeya,mkoa huo nlikuwa naukubali sana
Vp block T Bado kumepangika

Ova
 
Yako mambo mengi yako ndani ya uwezo wa local government kwa 100% , kwa mfano masuala ya public transport ambayo kimsingi wamefeli, masuala ya upandaji wa miti, utengaji na uendelezaji wa wa maeneo ya wazi ya kupumzika (city parks) nk. Yote haya wameshindwa kwa 100% na ni mambo yasiyohitaji fedha kabisa.
Hii ni ushahidi kuwa hawana uwezo wa kusimamia lolote within their capacity.

Hii maana yake ni kuwa hata ikitokea siku tumeboresha katiba yetu ya JMT, tukafanya ugatuzi na provinces zikajisimamia, kuna provinces kama mbeya zitakuwa zipozipo tu wakati provinces nyingine zitapiga hatua haraka zaidi.
Ni kweli usemalo local government inaplay part kubwa. Madiwani tunaowchagua mbeya hawajielewi. Awamu iliyopita ndio walikuwa wa hovyo kuwahi kutokea. Hii ishu ya vibajaji kila sehemu sijui ni nini kinawashinda maana lipo ndani ya uwezo wao

Jiji limekua la wamachinga kila sehemu, wanawaza kukusanya ushuru tuu
 
Mbeya ndio jiji la mwisho katika planning pia ni Unorganized, noisy, and uncivilized. Haieleweki Down town wapi wala Uptown wapi lipo lipo tu japo kimapato liko juu
 
Najiuliza ni pabaya au Camera yako ndio inapiga picha mbaya?

Kwa sisi wageni na huo mji tunajiuliza au hii picha uliipiga mwaka 2009 BC?
Hiyo ndio mbeya na hilo ni vumbi mpka kwenye mabati, mbeya haina tofauti na mapango ya wahadzabe.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja. Mleta mada ameeleza kero pamoja

Hoja hunibiwa kwa hoja. Mleta mada ameelezea kero kwa undani na kisha kushauri nini kifanyike.
Ukweli usemwe, ahadi kuijenga mbeya ni nyingi kuliko uhalisia wenyewe. Kama utakumbuka vizuri, uwanja wa Songwe uliahidiwa tangu mwanzoni mwa 2000, kwa. Ba ungekuja kuwa wenye hadhi ya kimataifa. Lakini wewe mwenyewe unajua umekamilika lini na upo katika kiwango gani.
Soko la uhindini lilipoungua miaka ya 2003 serikali ikasema itashusha mall pale kubwa ya hadhi ya jiji. Lakini mpaka sasa wewe unamajibu kamili nini kipo pale.
Kuna soko la mwanjelwa, baada ya kuungua, vilevile wakasema kutajengwa Soko la kisasa litakalohudumia nchi za SADC😂, bilions zimeenda na soko wewe mwenyewe unaliona lilivyo.
Stendi ya mabasi, ilikua inajengwa ya pale Sai tuliamini sasa kulingana na routes nyingi za mabasi, basi stendi hiyo itamaliza changamoto zote na itakua ya kisasa kama ya Nyegezi au Nyamongolo za Mwanza. Wewe unamajibu kamili nini kilichojengwa pale.
Turudi kwenye City Garden. Kama unakumbuka waliahidi ile garden itawakutanisha watu pale kwa ajili ya mapumziko na refreshment nyingine. Lakini nikuulize wewe kama wewe umewahi kwenda pale au kuna eneo specifically Mbeya la mapumziko ya watu kama ilivyo Mwanza? Nadhani majibu unayo.
Turudi kwenye barabara ya njia nne. Wewe kama wewe umeanza kusikia tetesi za kujengwa lini?? Kwa mimi nnchokumbuka ilikua ni kujenga njia ya mchepuko kutoka uyole mpaka Mbalizi lakini si hii ya njia nne. Sasa hivi ile mwezi wa pili au mwanzoni mwa mwezi Marxh tuliona utiwaji wa sign ujenzi wa barabara hiyo. Kwa sasa ni miezi mitatu imepita, je umeona hata maandalizi ya awali ya ujenzi huo???
MAMBO NI MENGI, lakini ukweli ni kwamba huo mkoa utauona ni mzuri kama hujafika Mwanza au Dodoma pamoja na Arusha ingawa Arusha stendi ya mabasi ndio mtihani lakini si haba mji upo clean.
Vijana wanaukimbia huo mkoa nyumba za majengo nyingi hazina watu kabisa
Hapo hakuna jiji bali kuna gulio la wauza mchele na viazi, jiji halina vibe jiji limejaa waluga luga tu, muda wote wanawaza kuvuna mpunga, watu wanajazana kwenye soko la mwanjelwa siku ya sikukuu wakipiga picha kwenye magunia ya maharage tabu sana hilo likijiji.
 
Katikati kwani hujui ni maeneo ya zamani na mostly ni ya biashara? Nyumba za Kisasa zitoke wapi?

Kwanza ituha,ilemi ,Uyole nk kote Kuna nyumba za Kisasa zipo
Tatizo huwa una akili kama zombie, unaweza kusifia hata nyumba za udongo zilizoezekwa kwa madebe matupu,mbeya hakuna mji bali kuna kijiji kikubwa kinachokusanya wakulima kutoka sehemu mbalimbali ya nchi.
 
Pabaya wapi alipogusa? Mtoa mada ni mjinga Fulani tuu wa huko Dar kunakonuka.
Mtoa mada ni mtu wa Iringa na anaishi mbeya kwasasa, mnataka kusaidiwa ili gulio lenu livutie lakini unajifanya mjuaji hii yote ni Tanzania naweza kutaka kuishi huko mbeya lakini kama hakuna facilities za msingi sitaweza kuwekeza huko.
 
Uzuri ni kwamba ukuaji wa Jiji la mbeya halitegemei msukumo wa selikali ka uko kwenu!
 
Ni kweli usemalo local government inaplay part kubwa. Madiwani tunaowchagua mbeya hawajielewi. Awamu iliyopita ndio walikuwa wa hovyo kuwahi kutokea. Hii ishu ya vibajaji kila sehemu sijui ni nini kinawashinda maana lipo ndani ya uwezo wao

Jiji limekua la wamachinga kila sehemu, wanawaza kukusanya ushuru tuu
Hayo madiwani wa mbeya na wabunhe wao hawaishi huko mbeya wana makazi Dar, kwa hilo mkaliangalie.
 
We mluga luga acha ushamba na unatakiwa kutembea uone miji, hilo vumbi na nyumba za tembe za hapo mbeya basi unaona mbeya ni jiji zuriii kama Las vegas
Na kashupaa kishenzi kuukanusha huu uzi, ilhali kinachosemwa ni kweli kabisa. May be hajatoka nje ya mkoa ku-experience the difference
 
Mbeya ndio jiji la mwisho katika planning pia ni Unorganized, noisy, and uncivilized. Haieleweki Down town wapi wala Uptown wapi lipo lipo tu japo kimapato liko juu
Tabu sana hilo li mji la ovyo kabisaa, nipo tayari kuishi tandahimba kuliko hilo likijiji likubwa lenye mkusanyiko la wakulima wa majarubani.
 
Na kashupaa kishenzi kuukanusha huu uzi, ilhali kinachosemwa ni kweli kabisa. May be hajatoka nje ya mkoa ku-experience the difference
Tunataka kuwasaidia tuwavushe kutoka mji wa kijima mpaka mji ufanane angalau kama singida kwa mpangilio naona anashupaza fuvu kama zamadamu.
 
Back
Top Bottom