Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

UUm

Nikulize tu mbagala, mwananyamala, Kuna master plan
 
Ukiona natuma chochote humu ujue silinganishi na upuuzi wowote unaoupost, nafanya hivyo kwa ajili yako wewe kifutu. Standard ya kila kitu huko mbeya ni low.
 
Na hatujawa serious, kuwa na akili dogo tukisimama kwenye kila jambo Mwanza haiguswi na mikoa yote ya kusini combined
 

Rusty beach resort, hapa utakutana na botanic garden. Sehemu murua kabisa ya kujipatia usingizi.
 
Ukiona natuma chochote humu ujue silinganishi na upuuzi wowote unaoupost, nafanya hivyo kwa ajili yako wewe kifutu. Standard ya kila kitu huko mbeya ni low.
Huna Cha kutuma,Mwanza ni mwalo wa wavuvi kama Musoma na Bunda tuu πŸ˜†πŸ˜†

Kwenye beaches utakimbia,hapa sio Zanzibar ni Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1778034853050466328?t=EPSN7b0STYTEfBvSrkWFgQ&s=19
View: https://x.com/SylvesterGodwin/status/1759615443487043863?t=WFjDRlEW25H_m3Ns2AFfTw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…