ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huwezi Kuta kiwanda kama hicho hapo mwaloni Mwanza 👇👇Na maparachichi ndiyo maana vijamaa vimedumaa na vibishi hatari
View: https://youtu.be/SpJqTCsbUs8?si=QFbBzQWG6v0eEcGd
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi Kuta kiwanda kama hicho hapo mwaloni Mwanza 👇👇Na maparachichi ndiyo maana vijamaa vimedumaa na vibishi hatari
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..
Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..
Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232
Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..
Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..
Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.
Nikulize tu mbagala, mwananyamala, Kuna master planMaster plan ?, eti umesema master Plan ?
Hebu niambie Masterplan itafanya nini na Mbalizi? What will masterplan do with Iwambi na makunguru na Airport ? Uyole? Ilemi?
Ule mji ushakosewa. Hakuna kitu kitafanyika.
Nyumba za kisasa zinajengwa wapi ? Forest mpya na Iwambi?
Elewa , naijua mbeya nje ndani.
Hatujamaliza Hotels unakimbilia residential,Kijana Tulia upate kipondo kutoka Mbeya ,huko Nako nitakuja 😆😆
More than 15km 👇👇
View: https://x.com/MfalmeWaKusini/status/1772327210239611343?t=zPEFB5d6tAEyUaPmC8IDHw&s=19View attachment 3090863View attachment 3090864View attachment 3090865
Kuwa na aibuYaani wewe nyumbu unaharibu battle ,una post post bila kujua kama ni Hoteli au any residential building ilimradi umeona gorofa.
Acha ushamba wa kisukuma mbuzi wewe 😆😆.
Anyway new Hotel coming up in Mbeya City 👇👇View attachment 3090873View attachment 3090874
Bado hujasema Hadi Useme .
Usungilo Hotel 👇👇
View: https://youtu.be/Xpno41UGhzE?si=mv_srZJNx99_l3uy
View attachment 3090867View attachment 3090868View attachment 3090869
Katoro mjini labda sengerema 🤪🤪Kama katoro
Mbeya ni Kijiji kama vijiji vingine.
Mabanda ya nguruwe au kuanikia dagaa? 😆😆😆😆.View attachment 3090942View attachment 3090943View attachment 3090944
Rusty beach resort, hapa utakutana na botanic garden. Sehemu murua kabisa ya kujipatia usingizi.
Huna Cha kutuma,Mwanza ni mwalo wa wavuvi kama Musoma na Bunda tuu 😆😆Ukiona natuma chochote humu ujue silinganishi na upuuzi wowote unaoupost, nafanya hivyo kwa ajili yako wewe kifutu. Standard ya kila kitu huko mbeya ni low.
Si umesema hulinganishi imekuaje tena? 😆😆Na hatujawa serious, kuwa na akili dogo tukisimama kwenye kila jambo Mwanza haiguswi na mikoa yote ya kusini combined
Ngoja nikusogeze beach Matema Ili nikuaibishe zaidi 👇👇
Unawazimu weweNgoja nikusogeze beach Matema Ili nikuaibishe zaidi 👇👇View attachment 3090974View attachment 3090975View attachment 3090976View attachment 3090977
Bado Niko Matema Beach on Lake Nyasa 👇👇View attachment 3090926[ATTACView attachment 3090931View attachment 3090932
H=full]3090927[/ATTACH]View attachment 3090928View attachment 3090930
TilapiaView attachment 3090927