Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

UUm
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..

Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..

Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232

Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..

Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..

Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.

Master plan ?, eti umesema master Plan ?
Hebu niambie Masterplan itafanya nini na Mbalizi? What will masterplan do with Iwambi na makunguru na Airport ? Uyole? Ilemi?
Ule mji ushakosewa. Hakuna kitu kitafanyika.
Nyumba za kisasa zinajengwa wapi ? Forest mpya na Iwambi?
Elewa , naijua mbeya nje ndani.
Nikulize tu mbagala, mwananyamala, Kuna master plan
 
Wilaya za Mkoa wa Mbeya.

Chunya

View: https://youtu.be/jrGSBae-7rc?feature=shared
Screenshot_20240909-045116.jpg
 
Ukiona natuma chochote humu ujue silinganishi na upuuzi wowote unaoupost, nafanya hivyo kwa ajili yako wewe kifutu. Standard ya kila kitu huko mbeya ni low.
 
Na hatujawa serious, kuwa na akili dogo tukisimama kwenye kila jambo Mwanza haiguswi na mikoa yote ya kusini combined
 
2023-10-03.jpg
2023-09-29.jpg
2023-10-03 (1).jpg

Rusty beach resort, hapa utakutana na botanic garden. Sehemu murua kabisa ya kujipatia usingizi.
 
Ukiona natuma chochote humu ujue silinganishi na upuuzi wowote unaoupost, nafanya hivyo kwa ajili yako wewe kifutu. Standard ya kila kitu huko mbeya ni low.
Huna Cha kutuma,Mwanza ni mwalo wa wavuvi kama Musoma na Bunda tuu 😆😆

Kwenye beaches utakimbia,hapa sio Zanzibar ni Mbeya 👇👇

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1778034853050466328?t=EPSN7b0STYTEfBvSrkWFgQ&s=19

View: https://x.com/SylvesterGodwin/status/1759615443487043863?t=WFjDRlEW25H_m3Ns2AFfTw&s=19
 
Back
Top Bottom