Hii Huwa mnaitoa wapi? Hata kama mnataka kyiponda basi tumia current picture View attachment 3100519
Size ya Shinyanga ni Songea ,hakuna kitu hapo ππView attachment 3100717View attachment 3100718View attachment 3100719View attachment 3100720
View ya manispaa ya shinyanga utalinganisha na huu upumbavu?
Nimekustahi ila naona hubebeki.Mbeya ndo Jiji la hovyo kati ya majiji yote tanzania
Uwanja wa Ndege wa Mwanza ndio huo kama godown? πππππKanye sasa, umejamba sana.
Uchafu
Ficha huu uchafu wako
Huu hapa usafi kutoka Rocky City for domestic tourism ππππππ€£π€£π€£π€£π€ͺπππWe boya cheki CBD yako ya mwanjelwa mdongo kwinama
Songea na mbeya Zina utofauti Gani?Size ya Shinyanga ni Songea ,hakuna kitu hapo ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAF3GBROy5e/?igsh=MXd6eWFkdnhwa2hucA==
My Take: Mwanza is full slum imeshindwa unadhani ukiungana na Kijiji Cha Shy ndio mtaiweza Mbeya?
Mbeya Iko Juu ya Mwanza,Sasa ukiungana na Shy ndio mtatuweza? ππSongea na mbeya Zina utofauti Gani?
Watu wanaishi Mwanza kwenye dream houses tuu the real rocky City π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ ππKwani mbeya kuna watu wanaishi? Mi huwa najua kuna mashamba ya miti tu na maparachichi
Mwanza ukienda na ndege ndo utaona jinsi jiji lilivyokaa hovyoWatu wanaishi Mwanza kwenye dream houses tuu the real rocky City π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ ππ
View attachment 3100846View attachment 3100847View attachment 3100848
Hata bila ndege,Jiji limezungukwa na vimilima vilivyojaa mabanda ya nguruwe πππππMwanza ukienda na ndege ndo utaona jinsi jiji lilivyokaa hovyo
Sasa hizo zako ziliota kama yoga au zilijengwa zikakamilika?,Hospital kama hizi kila mkoa zipo wala sio kitu kipya hata lindisfarne,musoma na katavi zipoNyie watu wababaishaji sana ,Kila Jengo ni hospital harafu ujenzi unaendelea ππππππππ
Kwani zilizokamilika hazipo? ππ
Mbeya Zonala Hospital ππ
View: https://www.instagram.com/p/CpsM9WhNA33/?igsh=bW1xYXJwcGZ1bzBhView attachment 3100858View attachment 3100859
Bado panavutia tu kwa jinsi palivyoWatu wanaishi Mwanza kwenye dream houses tuu the real rocky City π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ ππ
View attachment 3100846View attachment 3100847View attachment 3100848
Bora mwanza mpaka uende milimani sio huko kwenu kuanzia kijiji ni kijijini mpaka mjini ni kijijini hakuna sehemu unakaa unasema hapa ndo mjini pote vululuvululuHata bila ndege,Jiji limezungukwa na vimilima vilivyojaa mabanda ya nguruwe πππππ
Kila siku nawaambia Mwanza Haina chochote Cha kuicheka Mbeya ,labda Dodoma tuu.
Chukua mji wenu iweke kwenye mawe hivyo alafu uje uone jinsi palivyo swekeniNimekustahi ila naona hubebeki.
Mbeya Ina Mitaa ya slums kama hapa Ilemi ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAG9cPsoX2C/?igsh=MWE2Y2N4bnlkdnM3cA==
Ila huwezi Kuta mabanda ya nguruwe kama haya ya Mwanza wanayoita nyumba,hata aibu hawana πππππ
View attachment 3100822View attachment 3100823View attachment 3100824View attachment 3100825View attachment 3100826
Huu hapa usafi kutoka Rocky City for domestic tourism ππππππ€£π€£π€£π€£π€ͺπππ
View attachment 3100827View attachment 3100829View attachment 3100830View attachment 3100831View attachment 3100832
hizoView attachment 3100950
Na hapo ni katikati ya mji wa mbeya hawa ndo wapo juu ya mwanza π π€£ π π
Kwamba nyumba zetu zitageuka kuwa mabanda ya nguruwe ya Utalii wa slums za Mwanza au? πππππChukua mji wenu iweke kwenye mawe hivyo alafu uje uone jinsi palivyo swekeni
Kwani Milima Iko Nje Misungwi si ipo hapo hapo Mjini πππππBora mwanza mpaka uende milimani sio huko kwenu kuanzia kijiji ni kijijini mpaka mjini ni kijijini hakuna sehemu unakaa unasema hapa ndo mjini pote vululuvululu