ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mkono wa mtu binafsi huu ilemela km nyingi toka CBD
View attachment 3102184
Huku hivyo vipo kila kona any way ngoja tukuache ujifariji maana hakuna jipya
Viko wapi? ππππHuku hivyo vipo kila kona any way ngoja tukuache ujifariji maana hakuna jipya
Hakuna mtu wakuzurura kupiga picha kila jengo linalojengwa maana kila kona kuna mijengo inaibuka hyo kazi ya mtu asiye na majukum ndo anaweza kuifanyaViko wapi? ππππ
Zingine mlizoweka humu mlizitoa wapi?Hakuna mtu wakuzurura kupiga picha kila jengo linalojengwa maana kila kona kuna mijengo inaibuka hyo kazi ya mtu asiye na majukum ndo anaweza kuifanya
Zingine mlizoweka humu mlizitoa wapi?
Sema hakuna majengo Mapya,mliyo post yameisha ππππ
Bado hamjasema Hadi mseme ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAY4v5IIT00/?igsh=NGdqenFnaWs2c2J3
Zingine mlizoweka humu mlizitoa wapi?
Sema hakuna majengo Mapya,mliyo post yameisha ππππ
Bado hamjasema Hadi mseme ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAY4v5IIT00/?igsh=NGdqenFnaWs2c2J3
View attachment 3108229View attachment 3108230
Hako kajengo kanaweza ingia hata robo hapa? Tubishane kusogeza masaa tu ya kuishi ila ukweli unaujua
Ushamba wa kukariri umekuzidi ndio maana unaongea pumba.Niko mbeya hapa nimehangaika kutafuta usafiri wa Bolt kumbe hii huduma haipo na wala sijashangaa make huduma hii siyo ya vijijini ni ya majiji tu, Majiji yote ya ukweli hii huduma ipo, na sasa mpaka morogoro ipo. dah! ila nimeteseka mno kutembea umbali mrefu kufuata tax zilipoππ
Mambo Iko huku ππView attachment 3108217
Kama haya au hii ni picha ya zamai sasa hv lipo 90% kukamilika yani yapo mengi tu ni uchizi kuzurura kupiga picha majengo
Hako kajengo nako nika kupost huku kweli?
Mbeya ππWop tower, Rufiji street mbeya nzima hiki kijengo kinawakimbiza View attachment 3113981
π π π π π π π π πHako kajengo nako nika kupost huku kweli?
Bado hamjajichekesha vizuri,hadi mseme shikamoo Mbeya.π π π π π π π π π
Hivi Mwanza wakiaanxa kupost vijengo vya hii si itakua vichekesho kabisa, hivi vijengo vipo huko Buswelu zaidi ya 25km kutoka city centerBado hamjajichekesha vizuri,hadi mseme shikamoo Mbeya.
Uwata HQ,Hawa Wana Shule, Hospital na Vyuo ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAqlS7SorRv/?igsh=c3pxeWRvMDFjMG0=
Vijengo vya hii ndio nini? Huna content,Hivi Mwanza wakiaanxa kupost vijengo vya hii si itakua vichekesho kabisa, hivi vijengo vipo huko Buswelu zaidi ya 25km kutoka city center
Lakini jinsi unavyozidi kupambana na mtu wa chini au mpinzani dhaifu ndio jinsi unavyozidi kujishusha na kujiabisha, kuna battle za kukomaa na kuna battle za kijinga kama hizi za kupuuzia.View attachment 3100635
Jengo la hospital ya kamanga ujenzi unaendelea
Hizi battle za kutiana aibu, battle na miji ya maana sio hii miji iliyokaa kama masubwe.Hivi Mwanza wakiaanxa kupost vijengo vya hii si itakua vichekesho kabisa, hivi vijengo vipo huko Buswelu zaidi ya 25km kutoka city center