Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Zingine mlizoweka humu mlizitoa wapi?

Sema hakuna majengo Mapya,mliyo post yameisha 😂😂😂😂

Bado hamjasema Hadi mseme 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DAY4v5IIT00/?igsh=NGdqenFnaWs2c2J3

1000262439.jpg

Kama haya au hii ni picha ya zamai sasa hv lipo 90% kukamilika yani yapo mengi tu ni uchizi kuzurura kupiga picha majengo
 
Niko mbeya hapa nimehangaika kutafuta usafiri wa Bolt kumbe hii huduma haipo na wala sijashangaa make huduma hii siyo ya vijijini ni ya majiji tu, Majiji yote ya ukweli hii huduma ipo, na sasa mpaka morogoro ipo. dah! ila nimeteseka mno kutembea umbali mrefu kufuata tax zilipo😭😭
 
Niko mbeya hapa nimehangaika kutafuta usafiri wa Bolt kumbe hii huduma haipo na wala sijashangaa make huduma hii siyo ya vijijini ni ya majiji tu, Majiji yote ya ukweli hii huduma ipo, na sasa mpaka morogoro ipo. dah! ila nimeteseka mno kutembea umbali mrefu kufuata tax zilipo😭😭
Ushamba wa kukariri umekuzidi ndio maana unaongea pumba.
 
Back
Top Bottom