Wakipata hili watafanya sherehe mkoa mzima kuja kulifungua achana na wakina mwaisa.View attachment 3115052mbeya hakuna gorofa kama hili
Wanazidiwa na wanyalukolo.Huu mji unatia huruma aise, Mbeya slum city View attachment 3115070
Mbeya pa hovyo mnoWanazidiwa na wanyalukolo.
Busy kama KariakooView attachment 3115082π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ hhawa jamaa hawako serious na mji wao
UChafu gani huuWacha maneno weka mzigo ππ
View: https://x.com/Visitmbeya/status/1839904251377586648?t=oLMp5fZKTW9BOII3lqR3Qg&s=19
Hapa ndio downtown kwao au ni uptown?View attachment 3115082π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ hhawa jamaa hawako serious na mji wao
Hapo kutakuwa na gulio la kuuza viazi na mchele hakuna jipya hapo.Busy kama Kariakoo
Downtown ndio pakuringia sasa hapo, mji hu upo kienyeji sanaHapa ndio downtown kwao au ni uptown?
Umekaa kama gulio.Downtown ndio pakuringia sasa hapo, mji hu upo kienyeji sana
Umekaa kama gulio.
π¨π¨π¨ππDowntown ndio pakuringia sasa hapo, mji hu upo kienyeji sana
π¨π¨Hutu tunyumba hakuna kitu kwa Mwanza tu nyumba kama hutu hatuhesabiki
Huu mji wenu bado kuna kazi ya kufanyika upo nyuma sana